SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 11, 2015

GOR MAHIA MABINGWA WAPYA SUPER CUP

MABINGWA wa Kenya, Gor Mahia usiku huu wametwaa taji la DSTV Super Cup, mechi maalum ya kuashiria kupenuliwa kwa pazia la Ligi Kuu ya Kenya, baada ya kuifunga mabao 2-1 Sofapaka Uwanja wa Nyayo, Nairobi.Kwa ushindi huo, Gor inayofundishwa na kocha Mscotland, Frank Nuttal imezawadiwa fedha za Kenya,...

MASHABIKI 160 WA YANGA WAKODI BOTI KUIFUATA TIMU YAO DAR

Mashabiki wa Yanga wapatao 160 wamekodi boti kuja jijini Dar kuongeza nguvu. Yanga inashuka kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar kuivaa BDF XI ya Botswana katika mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho. Wanachama na mashabiki hao wanasafiri kwenda jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuisaidia...

WAPINZANI WA AZAM FC WAONYESHA JEURI YA FEDHA

Wapinzani wa Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, El Merreikh ya Sudan inatua kesho na moja kwa moja kwenda kufikia katika moja ya hoteli kubwa nchini ya nyota tano ya Serena. Merreikh inatarajia kutua nchini saa 7 mchana tayati kwa mechi yao ya kwanza dhidi ya Azam...

STAND UNITED YAILILIA SIMBA KUTOLIPA MSHAHARA WA CHANONGO

Uongozi wa Stand United umelalama kuwa Simba imekuwa hailipi kasi cha mshahara kwa mshambuliaji Haruna Chanongo. Mkurugenzi wa Ufundi wa Stand United, Mhibu Kanu amesema makubaliano yao na Simba ni kila upande kulipa nusu mshahara lakini Simba wamekuwa hawafanyi hicho. "Sisi tumekuwa...

ALICHOKISEMA KOPUNOVIC KUHUSU DANNY SSERUNKUMA

KOCHA mkuu wa Simba SC, Goran Kopunovic anafurahishwa na kiwango cha mshambuliaji wake, Raia wa Uganda, Danny Sserunkuma ambaye siku za karibuni amekuwa na makali ya kufumania nyavu. Sserunkuma alifunga bao moja katika ushindi wa Simba wa mabao 2-0 dhidi ya Ndanda fc huko Nangwanda Sijaona...

DANNY SSERUNKUMA AFUNGUA MDOMO

BAADA ya kufuta ukame wa kufunga magoli katika mechi za ligi kuu, Mshambuliaji wa Simba, Danny Sserunkuma amesema limekuwa jambo jema kwake kufunga magoli matatu mpaka sasa. Danny...

AZAM FC YAREJEA KILELENI, YAICHARAZA 5-2 MTIBWA SUGAR CHAMAZI

Na Bertha Lumala, Dar es salaam Azam FC, mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Tanzania Bara wamefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 5-2 kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi, Mbande jijini hapa jioni hii. Mabao mawili ya kiungo Frank Domayo na...

KOCHA YANGA ATAJA MBINU ZA KUWAKALISHA WABOTSWANA

*El-Merrikh kutua Dar kesho Na Bertha Lumala, Dar es Salaam Wakati wapinzani wa Azam FC katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, El-Merrikh FC ya Sudan watatua jijini Dar es Salaam kesho, Yanga SC wameahidi kuichakaza kwa...

ALICHOSEMA BEKI SIMBA

ALIYEKUWA beki wa Simba SC David Naftali Tevelu ameahidi kuwakilisha taifa lake vyema katika ligi kuu ya taifa la Kenya akivalia jezi ya Ushuru FC pindi tu msimu wa 2015 utakapong’oa nanga mwishoni mwa mwezi Februari. Katika mahojiano na BIN ZUBEIRY, Tevelu alithibitisha uhamisho wake kutoka Bandari...

FABREGAS KAMILI KUICHEZEA CHELSEA LEO

Kiungo aliyekuwa majeruhi, Cesc Fabregas amerejea mazoezini jana Chelsea kujiandaa na mchezo wa ugenini Ligi Kuu ya England usiku wa leo dhidi ya Everton ...

REAL MADRID WAONYESHA JEURI YA FEDHA

ANGALIA JEURI WANAYOTAKA KUIFANYA REAL MADRID SANTIAGO BERNABEU Real Madrid imetenga kitita cha pauni milioni 328 ili kuukarabati kwa kuutanua na kuufanya wa kisasa zaidi Uwanja wake wa Santiago Bernabéu. Rais wa Madrid, Florentino Perez ameonyesha michoro ya uwanja huo itaoufanya kuwa uwanja...

HII YA SAKHO ILIKUWA KALI JANA

BEKI MAMADOU SAKHO WA LIVERPOOL, JANA ALITOA KALI WAKATI ALIPOMRUKIA KIUNGO MOUSSA DEMBELE WA SPURS KATIKA MECHI YA LIGI KUU ENGLAND. SAKHO ALIRUKA KWA ULE MFUMO KAMA WA MCHEZO WA RUGBY IKIWA NI BAADA YA DEMBELE KUMTOA. ANGALIA MWENYEWE. ...

NI VITA YA UBINGWA LA LIGA LEO

Mtandao wa ESPN umeainisha namna ambavyo bosi Diego Simeone na klabu yake ya Atletico Madrid wanavyoweza kuipiku madrid kwa mara nyingine katika mbio za ubingwa wa ligi kuu ya hispania maarufu kama La Liga. Kwa mujibu wa mtandao huo kuna mambo matano ya kutafakari kufuatia kufungwa kwa Real Madrid...

N'DOYE AFUNGUA AKAUNTI YA MABAO HULL CITY IKUA 2-0 ENGLAND

Mchezaji mpya wa Hull City, Dame N'Doye akipambana na Ciaran Clark wa Aston Villa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usikunwa jana. Wenyeji, Hull City walishinda 2-0, mabao ya N'Doye na Nikica Jelavic.          ...

QPR YAPATA USHINDI WA KWANZA UGENINI NA KUJINASUA MKIANI

Leroy Fer akipiga mpira kichwa mbele ya Liam Bridcutt kuunganisha krosi ya Matt Phillips kumtungua kipa Costel Pantilimon kuifungia QPR bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Sunderland Uwanja wa Light usiku wa jana. Bao la pili la QPR lilifungwa na Bobby...

WAPINZANI WA YANGA KUWASILI KESHO

WAPINZANI wa Yanga SC, BDF XI wanatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Alhamisi kuelekea mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali, Kombe la Shirikisho la Afrika Jumamosi.Yanga SC watacheza na BDF XI Jumamosi katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali, Kombe la Shirikisho wakihitaji ushindi mzuri kujiweka...

MAGAZETI YA MICHEZO LEO

...

BABA’AKE CHEKA AANGUA KILIO

NA DANSTAN SHEKIDELE/Morogoro WATOTO wa bondia bingwa wa dunia anayetambuliwa na shirikisho la WBE, Francis Cheka aliye gerezani, wamemliza babu yao, Boniface Cheka ambaye ni baba mzazi wa mwanamasumbwi huyo wakati alipowatembelea nyumbani kwao, kwa mara ya kwanza tangu kutolewa kwa...

HII INAHUSU USAJILI WA MARCO REUS

   Marco Reus amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Dortmund mpaka 2019 - akizitosa timu kadhaa zilizokuwa zikitajwa kumuwania ikiwemo Arsenal, Madrid, Chelsea na Cit...

BALOTELLI AIBEBA LIVERPOOL JANA

Timu ya Liverpool jana imeibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya Totenham Hotspur, magoli ya Liverpool yalifungwa na  Lazar Markovic dakika ya 15, Gerrard dakika ya 53 na Balotelli dakika ya 83 na magoli ya Totenham yalifungwa na Kane dakika ya 26 na Dembele dakika ya 61. MSHAMBULIAJI MARIO...

ARSENAL WAPAA TOP 4

ARSENAL IMEKWEA HADI NAFASI YA NNE KATIKA MSIMAMO WA LIGI KUU ENGLAND BAADA YA KUSHINDA KWA MABAO 2-1 DHIDI YA LEICESTER CITY.SHUKRANI KWA BEKI KISIKI KOSCIELNY ALIYEFUNGA BAO LA KWANZA KABLA YA THEO WALCOTT KUFANYA KAZI YAKE KWA UHAKIKA ZAIDI NA KUFUNGA BAO LA PILI. ...

JULIO AIPANDISHA MWADUI VPL, AICHAPA POLISI TABORA 2

Na. Richard Bakana, Dar es salaam Timu ya Mwadui FC kutoka Mkoani Shinyanga leo imefanikiwa kujihakikishia kiganjani tiketi ya kutinga kunako ligi kuu ya Soka Tanzania bara Msimu wa 2015/2016 baada ya kuichapa Polisi Tabora kwa jumla ya mabao 2-0. Kupanda kwa Kikosi hicho kinacho nolewa...