
MAMBO mengine ukiyasikia unaweza
kucheka sana, yaani ni kama muvi
fulani ya kichekesho. Jackson Mayanja
alikuwa Kocha wa Coastal Union mpaka
juzi kati, lakini sasa ametua Simba.
Coastal wakamchukua Ally Jangalu
kuziba nafasi yake.
Mayanja kwenye mazoezi yake ya
kwanza kabisa alipowaangalia wachezaji
wa...