SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 15, 2016

ALICHOSEMA KOCHA MPYA SIMBA NA ALICHOSEMA KOCHA MPYA COASTAL UNION

MAMBO mengine ukiyasikia unaweza kucheka sana, yaani ni kama muvi fulani ya kichekesho. Jackson Mayanja alikuwa Kocha wa Coastal Union mpaka juzi kati, lakini sasa ametua Simba. Coastal wakamchukua Ally Jangalu kuziba nafasi yake. Mayanja kwenye mazoezi yake ya kwanza kabisa alipowaangalia wachezaji wa...

FARIDI MUSSA APATA DILI CELTIC

WINGA wa kimataifa wa Tanzania, Farid Malik Mussa anaweza kwenda Celtic FC ya Ligi Kuu ya Scotland au Athletic Bilbao ya Ligi Kuu ya Hispania kwa majaribio. Hiyo inafuatia wakala mmoja mwenye mahusiano mazuri na klabu hizo kuwasiliana na Azam FC, inayommiliki Farid akisema Celtic na Bilbao ndizo klabu...