SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 26, 2015

HIVI NDIVYO VITA VYA SIMBA NA YANGA ILIVYO KUWA KUMWANIA PETER MWALYANZI

WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamefanikiwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili kiungo mshambuliaji, Peter Mwalyanzi kutokea Mbeya City fc. Mwalyanzi alisaini mkataba huo jana na baada ya hapo alifanya mahojiano maalumu na Sports Xtra ya Clouds fm na hapa chini ni baadhi ya mambo aliyozungumza: Swali:...

REAL MADRID YAMFUKUZA KAZI ANCELOTTI BAADA YA KUMALIZA MSIMU BILA TAJI

KLABU ya Real Madrid imemfukuza kocha Carlo Ancelotti mwaka mmoja na siku moja tangu aipe timu hiyo taji la 10 la Ulaya. Rais wa klabu, Florentino Perez amethibitisha katika Mkutano na Waandishi wa Habari usiku wa Jumatatu juu ya uamuzi wa kumtimua kocha huyo wa tisa katika miaka yake 12 ya...