SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 15, 2015

WAYNE ROONEY NJE MAN UNITED NA ARSENAL JUMAPILI, VAN PERSIE KUANZA NA DI MARIA

MSHAMBULIAJI Wayne Rooney ataikosa mechi ya timu yake, Manchester United dhidi ya Arsenal Jumapili kutokana na kutopona mguu. Nahodha huyo wa United, alilazimika kutoka nje Jumamosi iliyopita timu yake ikishinda dhidi ya Crystal Palace, na ameshindwa kupata ahueni kuelekea mechi na Washika...

MSHITUKO MAN UNITED, DE GEA AMALIZANA KILA KITU NA REAL MADRID AKARITHI GLAVU ZA CASILLAS

KIPA wa Manchester United, David de Gea yuko mbioni kuondoka Old Trafford mwishoni mwa msimu, baada ya kufikia makubaliano ya vipengele binafsi vya Mkataba na Real Madrid, kwa mujibu wa taarifa nchini Hispania.  Gazeti la Marca limeripoti kwamba kipa huyo mwenye...

MANJI AAMBIWA; “UMEMALIZA MUDA WAKO YANGA SC”, KAMATI YAITISHA UCHAGZUI JULAI 12 DAR

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM UCHAGUZI Mkuu wa Yanga SC utafanyika Julai 12, mwaka huu katika ukumbi ambao utatajwa baadaye.Taarifa ya Katibu Kamati ya Uchaguzi ya Yanga SC, Francis Kaswahili iliyotumwa BIN ZUBEIRY leo imesema kwamba, fomu za wagombea zitaanza kutolewa Mei 17,...

SIMBA SC YATUPA NDOANA ZAKE KWA BEKI TEGEMEO RWANDA, TENA KINDA TU

Na Princess Asia, DAR ES SAALAMSIMBA SC imetupa ndoana zake kwa Emery Bayisenge wa APR ya Rwanda, lakini kumpata kazi ipo.Bayisenge, beki hodari wa kati mwenye umri wa miaka 21 tu, ni tegemeo la Rwanda kuelekea michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika CHAN mwakani, inayohusisha wachezaji...