
MSHAMBULIAJI Wayne Rooney ataikosa mechi ya timu yake, Manchester United dhidi ya Arsenal Jumapili kutokana na kutopona mguu.
Nahodha
huyo wa United, alilazimika kutoka nje Jumamosi iliyopita timu yake
ikishinda dhidi ya Crystal Palace, na ameshindwa kupata ahueni kuelekea
mechi na Washika...