SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Feb 21, 2016

BAADA YA MECHI ZA JANA HUU NDIO MSIMAMO VPL

Na Haji Balou
Baada ya Simba kufungwa na Yanga goli 2-0 na Azam fc kuifunga Mbeya City goli 3-0 huu ndio msimamo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.

Wakati Simba ikiwa imemzidi Azam michezo miwili Yanga nae amemzidi Azam mchezo mmoja lakini Yanga nao wamezidiwa mchezo mmoja na Simba ac.

HII NDIO SABABU YA AZAM KUVAA JEZI MBILI TOFAUTI KATIKA MCHEZO WA JANA

Na Haji Balou
Timu ya Azam fc Jana imeibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya wenyeji wao Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom.

Sehem kubwa ya mchezo huo ilitawaliwa na mvua hususa ni kipindi cha kwanza kulikuwa na mvua kubwa ambayo ilisababisha Azam fc kubadili jezi katika kipindi cha pili baada ya jezi za dark blue walizo vaa kipindi cha kwanza kuloa sana na kipindi cha pili walirudi wamevaa jezi nyeupe.