
KATIBU Mkuu wa Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa, amezitolea uvivu
klabu za Simba na Yanga kusema hazina jipya.
Slaa alitoa kauli hiyo
juzi Jumapili kwenye mkutano wa kumpongeza mwenyekiti mpya wa Serikali
ya Kibwegere, Edson Nyingi, uliofanyika kwenye viwanja vya Makombe,...