SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 2, 2015

DR SLAA AIFAGILIA AZAM FC

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa, amezitolea uvivu klabu za Simba na Yanga kusema hazina jipya. Slaa alitoa kauli hiyo juzi Jumapili kwenye mkutano wa kumpongeza mwenyekiti mpya wa Serikali ya Kibwegere, Edson Nyingi, uliofanyika kwenye viwanja vya Makombe,...

SCHURRLE AIHAMA CHELSEA

kiungo mshambuliaji wa Chelsea Andre Schurrle amejiunga rasmi na klabu ya Wolfburg kwa ada inayokadiliwa kuwa ni paundi millioni 24. Kiungo huyo alikuwa na kipindi kigumu katika klabu yake ya Chelsea mara baada ya kutopewa nafasi ya kutosha kucheza hasa katika kikosi cha kwanza hali iliyopelekea...

HII KUHUSU USAJILI WA ANDERSON MAN U

Mchezaji wa Man united Anderson amesafiri kwenda nchini kwao Brazil kujiunga  na timu ya Internacional baada ya mambo kwenda kinyume katika klabu ya Man Unite...

ATLETICO MADRID WAISTUKIA PSG

Mabingwa wa soka nchini Hispania Atletico Madrid, wanajipanga kuwasilisha malalamiko yao FIFA baada ya kubaini njia za udanganyifu zilizokua zikifanywa na mabingwa wa soka kutoka nchini Ufaransa Paris Saint-Germain dhidi ya Diego Pablo Simeone. PSG...

AZAM FC KUFUNGA ZIARA DRC KWA KUIVAA DON BOSCO KESHO

Na Bertha Lumala, Dar es Salaam Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara na wawakilishi wa Tanzania Bara katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, Azam FC kesho watafunga ziara yao ya wiki moja DRC kwa kuivaa Don Bosco FC. Mechi hiyo ni ya mwisho kwa Azam FC katika michuano maalum ya kimataifa...

FIFA YAMCHUNGUZA DIAFRA SAKHO

  Mchezaji Diafra Sakho na kilabu ya West Ham zinakabiliwa na uchunguzi kutoka shirikisho la soka duniani FIFA kufuatia hatua ya mchezaji huyo kujiondoa katika kikosi cha Senegal katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika. FIFA inasema kuwa imefungua uchunguzi wa kinidhamu kwa kukiukwa...

AC MILAN YASAJILI KIFAA KIPYA

  Ac milan imemsajili  Luca Antonelli kutoka Genoa kwa ada ambayo haijawekwa wazi Antonelli mwenye umri wa miaka 27 amesaini mkataba ambao utaisha mwezi june 2018 na amepewa jezi no 31. Antonelli ambaye amekuwa katika Academ ya milan alishindwa kufanya vizuri na akatolewa kwa mkopo katika...

MATRI AMERUDI JUVENTUS

  Juventus imemsajili Alessandro Matri kwa mkopo kutoka Ac milan hadi mwisho wa msimu. Mshambuliaji huyo amerejea Turin baada ya Sebastian Giovinco ambaye aliondoka klabuni hapo jumatatu na kujiunga na  Toronto fc.  Matri mwenye umri wa miaka 30 alifunga mabao 29 katika michezo 83...

KOCHA AMSIFIA DOMAYO

  KOCHA wa Azam, Joseph Omog, amesema kiungo wake Frank Domayo ameonyesha kiwango cha juu na cha kushangaza ikiwa amecheza mechi chache tu baada ya kupona majeraha ya nyama za paja. Domayo aliifungia Azam mabao yote mawili katika sare ya 2-2 na Zesco ya Zambia juzi Jumamosi, lakini mbali...

HII NDIO BIASHARA ANAYOTAKA KUFUNGUA MSANII FEROUZ

  Good news ambayo imesikika leo inamhusu msanii mkongwe Ferooz ambae amezungumzia kuhusu biashara ya mgahawa ambayo anategemea kuuzindua Jumatano ya February 04, baada ya kufanya maandalizi kwa miaka miwili mgahawa huo uko maeneo ya Darfree Market unaoitwa Hollywood Café, amesema...

BARNABA AKARIBIA KUFUNGA NDOA

Mchumba wa Barnaba, Zebeda  amesema anafurahia  maisha yake na mpenzi wake Barnaba na kwamba watafunga ndoa hivi karibuni.ll Zubeda amesema kuwa mipango ya ndoa imekamilika na kwa sasa wanasubiri kupanga tarehe tu. Teyari ameshatoa pesa ya barua, na mahali kwahiyo bado kupanga tarehe ya...

AY AFUNGUKA KWA NINI ALIJITOA EAST COAST TEAM

Mwanamuziki Ambwene Yesaya maarufu kama Ay ambae kwa sasa anatamba na ngoma kama Touch Me amefunguka na kuweka wazi kuwa kujitoa kwao katika kundi la East Coast Team lenye makazi yake Upanga mashariki kuwa pesa nayo ilihusika licha ya ...

KOCHA SOUTHAMPTOM ATHIBITISHA KUSAJILI USIKU WA LEO

Meneja wa klabu ya Southampton ya nchini England Ronald Koeman, amesisitiza kufanya usajili angalau wa mchezaji mmoja kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa usiku wa kuamkia kesho. Koeman alitoa uhakika huo jana jioni mara baada ya mchezo wa ligi kuu ya soka nchini England ambapo...

WALICHOSEMA TFF KUHUSU USHAHIDI WA PICHA ZA VIDEO NA MAGAZETI

  Shirikisho la mpira nchini Tanzania (TFF) limesema kuwa kanuni haziruhusu kupata matukio ya ugomvi uwanjani kwa kutumia ushahidi wa TV, redio au magazeti. Akizungumza jijini Dar es Salaam, mkurugenzi wa mashindano wa TFF, Boniface Wambura amesema matukio mengi yanatokea uwanjani kwa...