
Na Prince Akbar, MBEYAYANGA
SC imeweka ‘kishoka’ kiti cha mbele kwenye basi la Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania Bara, kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji Prisons
jioni ya leo Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.Yanga SC
sasa wanatimiza pointi 28 baada ya kucheza mechi 14, wakiwazidi...