SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 19, 2015

YANGA YAPAA KILELENI LIGI KUU BARA

Na Prince Akbar, MBEYAYANGA SC imeweka ‘kishoka’ kiti cha mbele kwenye basi la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji Prisons jioni ya leo Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.Yanga SC sasa wanatimiza pointi 28 baada ya kucheza mechi 14, wakiwazidi...

LOGARUSIC APATA TIMU KENYA

Na Vincent Malouda, NAIROBIKOCHA wa zamani wa Simba SC ametua Kenya mchana wa leo kwa madaha ya aina yake akiwa amevalia miwani nzito ya jua.Mcroatia huyo ambaye aliteuliwa kocha mkuu wa klabu hiyo ya ligi kuu ya taifa la Kenya, AFC Leopards, ameshuka na ndege ya saa kumi na mbili unusu...

AZAM FC YABANWA NA RUVU, SARE 0-0 MABATINI

Na Princess Asia, MLANDIZIRUVU Shooting imewapunguza kasi mabingwa watetezi Azam FC, baada ya kuwalazimisha sare ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni hii Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.Matokeo hayo yanaifanya Azam FC ifikishe pointi...

YANGA SC, AZAM FC KATIKA VITA YA USUKANI LIGI KUU LEO, ATAKAYEPIGWA ATAMSOMA NAMBA MWENZAKE

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa michezo miwili kupigwa kwenye viwanja viwili tofauti nchini.Timu mbili zinazoongoza mbio za taji, mabingwa watetezi, Azam FC na washindi wa pili wa msimu uliopita, Yanga SC zote za Dar es Salaam, zitakuwa...

PORTO YAPATA SARE KWA BASLE LIGI YA MABINGWA

Taulant Xhaka wa Basle (kushoto) akipambana na winga wa Porto, Yacine Brahimi katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliofanyika Uwanja wa Jacob Park usiku huu. Timu hizo zilitoka 1-1, Derlis Gonzalez akianza kuifungia Basle kabla ya Danilo kuisawazishia Porto...

RONALDO APIGA BAO LA 58 LIGI YA MABINGWA

REAL Madrid imebisha hodi robo Fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya, kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Schalke nchini Ujerumani.  Cristiano Ronaldo aliifungia bao la kuongoza timu ya Carlos Ancelotti dakika ya 25 kwa kichwa na kumaliza ukame wa mabao uliodumu kwa karibu saa tano upande...

DIDIER KAVUMBANGU: MSHAMBULIAJI UNAYEHITAJI KUWA NAYE KATIKA KIKOSI

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMAKIWA katikati ya msimu wake wa kwanza katika klabu ya Azam FC, tayari mshambuliaji Mrundi, Didier Kavumbangu amefikisha nusu ya mabao aliyofunga ndani ya misimu yake miwili Yanga SC.Yanga SC ndio waliomleta Tanzania mshambuliaji huyo mrefu mwaka 2012,...

KURASA ZA MWANZO ZA MAGAZETI LEO 19 FEB

. . . . . . . . ....