SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 10, 2016

SIDO FC YAGAWA DOZI KWA BLACK STAR

Na Haji balou Leo may 10 ligi ya Mbuzi vijana  Cup  imeendelea tena kwa mchezo mmoja kupigwa katika uwanja wa shule ya  msingi muungano mechi kati ya Sido fc dhidi ya Black star. Mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika hakuna timu ambayo ilifanikiwa kuona lango la mwenzake lakii kipindi...