SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 25, 2015

MATIC KUKOSA MECHI MBILI

Adhabu ya kufungiwa mechi tatu kwa kiungo wa Chelsea Nemanja Matic imepunguzwa hadi mechi mbili. Mchezaji huyo atakosa mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi siku ya Jumapili dhidi ya Tottenham. Tume huru ya udhibiti ya Chama cha soka cha England FA ilishikilia adhabu, baada ya rufaa kukatwa na...

YANGA SC WATUA SALAMA GABORONE, WAFIKIA OASIS HOTEL

Kocha Msaidizi wa Yanga SC, Charles Boniface Mkwasa (kulia) akiwa na wachezaji wake eneo la mapokezi katika hoyeli ya Oasis mjini Gaborone, Botswana mchana wa leo baada ya kuwasili kwa ajili ya mchezo wa marudiano, Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) utakaofanyika keshokutwa nchini...

AZAM FC WAPOKEWA ‘KIGAIDI’ SUDAN, WAPEWA ‘GARI LA MKAA’, WACHEZAJI WAPIGISHWA KWATA UWANJA WA NDEGE

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMWAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC wamepata mapokezi ya ‘kigaidi’ mjini Khartoum, Sudan baada ya kuwasili usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya mchezo na wenyeji, El Merreikh.Kwanza, walipotua Uwanja wa Ndege, wachezaji...

KOCHA JULIO AAMIA COASTAL UNION

Na Augustino Mabalwe Kocha wa klabu ya Mwadui Jamhuri kihwelo “Julio” ametua katika klabu ya Coastal Union ya jijini Tanga kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu huu ambapo atakuwa klabuni hapo  kama kocha msaidizi. Imeripotiwa kuwa kocha huyo amechukua uamuzi huo kutokana na urafiki wake wa...

HUYU NDIE MCHEZAJI ALIECHEZA MUDA MFUPI YANGA

Mchezaji anayeshikilia rekodi ya kuichezea Yanga SC miaka mingi zaidi bila kuhama ni Keneth Mkapa. Yasemekana ameitumikia Yanga zaidi ya miaka 13 huku Mchezaji aliyeitumikia Yanga kwa muda mchache zaidi ni Emerson toka nchini Brazil. Aliitumikia Yanga kwa dakika 45 tu kwenye mechi ya mtani jembe....

KOPUNOVIC ATOA BONGE LA DARASA SIMBA

“Niwaambie ukweli mashabiki wangu, kila mtu anayeniunga mkono ni kama familia yangu, kila shabiki wangu ni kama mtoto wangu, kila shabiki ni mtu muhimu kwangu, kila shabiki ni muhimu kwa Simba, lakini kila shabiki lazima aelewe kitu hiki muhimu; “Timu hii ni changa sana, timu hii inahitaji...

SIMBA, YANGA ZAPIGWA BAO NA AZAM FC

AZAM FC ni klabu inayojifunza na kuendeleza pale inapofikia kwa misimu minne sasa tofauti na klabu kongwe za Simba na Yanga ambazo hupanda na kushuka. ANGALIA TAKWIMU HIZI 2010/2011-Simba walishika nafasi ya pili kwa pointi 49, huku Yanga wakichukua ubingwa kwa pointi  49, lakini...

BARCELONA YAILAMBA MAN CITY KWAO, SUAREZ SHUJAA

 Barcelona imefanikiwa kushinda kwa mabao 2-1 katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa hatua ya 16 Bora. Barcelona imeshinda kwa mabao hayo ugenini dhidi ya wenyeji wake Manchester City huku Luis Suarez akiwa shujaa kwa kufunga mabao yote mawili. Lionel Messi...

TEVEZ ATUPIA JUVE IKIITUNGUA DORTIMUND BAO 2-1

  Carlos Tevez ameendelea kuwa mtamu zaidi ya Mcharo baada ya kuingoza Juventus kupata ushindi wa mabao 2-1 katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa hatua ya 16 Bora. Tevez ndiye alifunga bao la kwanza huku Alvaro Morata akitupia la pili. Marco Reus alifunga bao pekee...

ZIPO HAPA KURASA ZA MWANZO ZA MAGAZETI YA MICHEZO FEB 25,2014

. . . . ....