SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Nov 20, 2014

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

GHANA YAAMKA, YAICHAPA TOGO YA ADEBAYOR 3-1, YAFUZU AFCON

Pamoja na kucheza bila Gyan Asamoh na Andre Ayew Ghana imefanikiwa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Afrika (Afcon).
Black Star imefanikiwa kufuzu kwa kuichapa Togo iliyoongozwa na Emmanuel Adebayor iliyokuwa ugenini kwa mabao 3-1, leo.
Kutokana na ushindi huo, Ghana imefikisha pointi 11 na kufuzu katika michuano hiyo mikubwa ya soka Afrika kwa timiu za taifa.
Ghana ilionekana kuizidia Togo kwa kila kitu huku safu ya ushambuliaji ya Ghana ikiichachafya safu ya ulinzi ya wageni.