
Na Haji balou
SIMBA SC imemfungia kwa mwezi mmoja pamoja na kumvua Unahodha, beki wake wa kati chipukizi, Hassan Isihaka baada ya kukutwa na hatia ya utovu wa nidhamu.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba, Hajji Manara amewaambia Waandisji wa Habari leo kwamba hatua hiyo imefikiwa...