SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 17, 2016

MAAMUZI MENGINE YA SIMBA KUHUSU HASSAN ISIHAKA

Na Haji balou SIMBA SC imemfungia kwa mwezi mmoja pamoja na kumvua Unahodha, beki wake wa kati chipukizi, Hassan Isihaka baada ya kukutwa na hatia ya utovu wa nidhamu. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba, Hajji Manara amewaambia Waandisji wa Habari leo kwamba hatua hiyo imefikiwa...

SIMBA WAMETOA MAAMUZI YAO KUHUSU VIPORO VYA YANGA NA AZAM FC

Na Haji balou Klabu ya Simba imeweka msisitizo kwamba mechi ya Jumamosi dhidi ya Coastal Union ni ya mwisho kwao hawatacheza tena hadi Yanga na Azam FC wacheze mechi zao za viporo. Simba itakuwa Tanga Jumamosi kuivaa Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkwakwani. Mkuu...