SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 3, 2016

MAN UNITED KUVUNJA REKODI USAJILI WA POGBA

Na Haji Balou Timu ya Manchester United imeiambia Timu ya Juventus kuwa wapo tayari kutoa Euro million 100 kwa ajilii ya kiungo Paul Pogba. Manchester United wapo tayari kumlipa uero 250,000 kwa wiki kwa staa huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 23. ...

MJUE STAA ANAYELIPWA MSHAHARA MKUBWA ZAIDI YA MESSI NA RONALDO

Na Haji balou Neymar wa Barcelona ndiye anachukua mshahara mkubwa zaidi kwa mwaka mmoja anafuatiwa na Messi na hivyo kuifanya Barcelona kuwa inalipa mshahara mkubwa zaidi ikifuatiwa na Madrid. 10 BORA HII HAPA: 1.Neymar: euro milioni 56 2..Messi: euro milioni 50 3.Cristiano: euro milion 47.5 4..Ibrahimovic:...

NDUGU WA KIPRE KUSAJILI SIMBA

Na Haji balou SIMBA SC imemaua – baada ya kuingia Mkataba na kocha Mcameroon Joseph Marius Omog sasa imehamia kwenye kusajili wachezaji bora wa kigeni. Wakati tayari ikiwa imefikia makubaliano na mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Laudit Mavugo aje kusiani Mkataba wa miaka miwili, Simba SC inaleta...