SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jul 3, 2016

MAN UNITED KUVUNJA REKODI USAJILI WA POGBA

Na Haji Balou
Timu ya Manchester United imeiambia Timu ya Juventus kuwa wapo tayari kutoa Euro million 100 kwa ajilii ya kiungo Paul Pogba.

Manchester United wapo tayari kumlipa uero 250,000 kwa wiki kwa staa huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 23.

MJUE STAA ANAYELIPWA MSHAHARA MKUBWA ZAIDI YA MESSI NA RONALDO

Na Haji balou
Neymar wa Barcelona ndiye anachukua
mshahara mkubwa zaidi kwa mwaka
mmoja anafuatiwa na Messi na hivyo
kuifanya Barcelona kuwa inalipa mshahara
mkubwa zaidi ikifuatiwa na Madrid.

10 BORA HII HAPA:

1.Neymar: euro milioni 56

2..Messi: euro milioni 50

3.Cristiano: euro milion 47.5

4..Ibrahimovic: euro milioni 26.7

5.Bale: euro milioni 21.4

6.Rooney: euro milioni 16.9

7.Luis Suarez: euro milioni 16

8.Iniesta: euro milioni 16

9.Hazard: euro milioni 16

10.Aguero: euro milioni 15.1

NDUGU WA KIPRE KUSAJILI SIMBA

Na Haji balou
SIMBA SC imemaua –
baada ya kuingia Mkataba
na kocha Mcameroon
Joseph Marius Omog sasa
imehamia kwenye kusajili
wachezaji bora wa kigeni.
Wakati tayari ikiwa imefikia
makubaliano na
mshambuliaji wa kimataifa
wa Burundi, Laudit Mavugo
aje kusiani Mkataba wa
miaka miwili, Simba SC
inaleta mshambuliaji hatari
kutoka Ivory Coast.

Huyo ni Goue Frederic Noel
Blagnon aliyezaliwa
Desemba 26, mwaka 1985
ambaye anatokea klabu ya
African Sports ya kwao,
Ivory Coast.