
Golikipa wa timu ya Preston Thorsten Stuckmann ameeleza kuwa mshambuliaji Wayne Rooney
alimuomba msamaha baada ya kuanguka katika eneo la hatari na kupata mkwaju wa penati.
Kipa huyu alimwangusha Rooney wakati mchezaji huyo akielekea kufunga bao na kusababisha penati,
Stuckmann, alisema "Rooney...