SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 18, 2015

WAYNE ROONEY AOMBA RADHI

  Golikipa wa timu ya Preston Thorsten Stuckmann ameeleza kuwa mshambuliaji Wayne Rooney alimuomba msamaha baada ya kuanguka katika eneo la hatari na kupata mkwaju wa penati. Kipa huyu alimwangusha Rooney wakati mchezaji huyo akielekea kufunga bao na kusababisha penati, Stuckmann, alisema "Rooney...

YANGA AZAM VITANI KESHO LIGI KUU BARA

Simo Msuva mchezaji wa Yanga Vita ya kugombea usukani wa ligi kuu ya Tanzania Bara kati ya wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu ya Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF)...

KOCHA REAL MADRID AMTETEA RONALDO

  Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti anaamini mchezaji nyota Christiano Ronaldo ataimarika punde tu atakapopata bao. Mchezaji huyo wa Ureno hajafunga katika mechi zake tatu zilizopita ,na hivyobasi kuzua utata kuhusu kiwango cha mchezo wake kabla ya mechi ya kilabu bingwa...

SAMATTA APATA MTOTO

Kareem Mbwana Samatta amezaliwa Mchezaji Mbwana Samatta ameweka historia nyingine katika maisha yake baada ya kupata mtoto wa kiume wiki hii.Hiyo inafuatia mchezaji huyo wa zamani wa Mbagala Market, African Lyon na Simba SC kupata...

ANELKA AMPELEKA POGBA CHELSEA

KIUNGO Paul Pogba ameshauriwa na Nicolas Anelka kuhamia Chelsea au Real Madrid ikiwa ataondoka Juventus mwishoni mwa msimu huu. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 amesaini Mkataba mpya wa mshahara wa Pauni 70,000 kwa wiki na vigogo hao wa Serie A Oktoba mwaka jana ambao utamalizika Juni 2019. Lakini...

KOPUNOVIC AMTAJA KIONGOZI ANAYE MPANGIA TIMU SIMBA

Na Saleh Ally TAKRIBANI wiki moja sasa imepita baada ya Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic kuvunja ukimya na kusema kitu ambacho kitakuwa ni mapinduzi makubwa kwenye soka katika klabu hiyo. Kopunovic, raia wa Serbia, ameamua kumtaja kiongozi ambaye amekuwa akimpangia timu, kiongozi aliyekuwa akimlazimisha...

ALIYE TEMWA SIMBA APATA TIMU RWANDA

Kiungo wa zamani wa Simba, Mrundi, Pierre Kwizera, amebamba dili baada ya kufanikiwa kujiunga na timu ya Rayon Sports inayoshiriki Ligi Kuu ya Rwanda. Kiungo huyo ambaye aliichezea Simba kabla ya kufungashiwa virago sambamba na ‘ndugu yake’, Amissi Tambwe, amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba...

ANGALIA TAKWIMU ZA USHINDANI KATI YA RINALDO NA MESSI

Na Saleh Ally KIUNGO Said Ndemla wa Simba na Simon Msuva wa Yanga ni kati ya Watanzania wanaofanya vizuri katika soka kipindi hiki. Mwendo wao umekuwa mzuri ingawa si rahisi kujua kipimo chao ni nani hasa. Kwamba wanataka kumfikia au kushindana na nani wanayetaka kumpita. Kushindana na...