SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 9, 2016

ZFC YAICHAPA NANGANDO FC

Na Haji balou Ligi ya mbuzi Vijana Cup imeendelea tena hii leo katika mchezo mmoja uliopigwa katika uwanja wa shule ya Msingi muungano kati ya Nangando fc dhidi ya Zfc na   umemalizika kwa Zfc kuibuka na ushindi wa goli 3-2. Katika mchezo huo uliokuwa mkali na wakusisimua Nangando fc  ndio...