SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 22, 2015

JULIO ATAJA KIKOSI CHAKE BORA CHA VPL 2014/2015

BAADA ya ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015 kumalizika mei 9 mwaka huu na Yanga wakiibuka mabingwa, mtandao huu unaendelea na zoezi la kukuketea vikosi bora vilivyochaguliwa na makocha wa timu za ligi kuu na wasiokuwa na timu pamoja na wachambuzi wa soka nchini. Jana kocha...

IVO MAPUNDA ATIMKIA OMAN, MIPANGO YA MUSLEY HIYO

Na Princess Asia, DAR ES SALAAM MAKIPA wote wa Simba SC, wakiongozwa na ‘mkubwa wao’ Ivo Mapunda watakwenda mafunzoni nchini Oman. Ivo pamoja na kipa wa pili, Hussein Sharrif ‘Casillas’ na makipa wa timu ya vijana wanaokomazwa kikosi cha kwanza, Peter Manyika na Dennis Richard wanatarajiwa kuondoka...

JOHN BOCCO AFICHUA SIRI YA TAIFA STARS KUBORONGA,

"Nikiwa kama mchezaji waki TANZANIA ninaecheza ligi ya hapa nyumbani na nikiwa mmoja wa wachezaji katika Timu ya Taifa ya kizazi hiki cha sasa wa Mudamrefu. Naandika hivi nikiwa na huzuni na masikitiko makubwa juu ya mpira wetu wa TANZANIA kwa ujumla kuanzia club zetu, ligi yetu na mpaka...