
BAADA ya ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015 kumalizika
mei 9 mwaka huu na Yanga wakiibuka mabingwa, mtandao huu unaendelea na zoezi la
kukuketea vikosi bora vilivyochaguliwa na makocha wa timu za ligi kuu na wasiokuwa
na timu pamoja na wachambuzi wa soka nchini.
Jana kocha...