SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

May 23, 2016

KIGAMBONI FC YAENDELEA KUTOA DOZII

Na Haji balou
Mchezo wa Ligi ya Mbuzi Vijana Cup imeendelea tena hii Leo Kwa Mchezo kati ya Kigamboni fc dhidi  Mnalani Mchezo ambao umemalizika Kwa Kigamboni kuibuka Na Ushindi wa goli 2-1.

Ligi hiyo inaendelea tena hapo kesho Kwa Mchezo mmoja kupigwa kati ya
Vijuso dhidi ya Sido mchezo utakao pigwa katika uwanja wa shule ya msingi muungano.