SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 24, 2015

SWALI MAN CITY NDIO WAFALME WAPYA WA JIJI LA MANCHESTER??

SWALI LIMEULIZWA KUPITIA KATIKA MTANDAO WA DAILYMAIL WA UINGEREZA. KWAMBA WAKATI MAN CITY WAKO BUSY WAKIJIANDAA NA MECHI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA, JIRANI ZAO MAN UNITED, WAKO BUSY WANACHEZA NA WATOTO. JE, MAN CITY NDIYO WAFALME WAPYA WA JIJI LA MANCHESTER KAMA ILIVYOKUWA MAN UNITED WAKATI WA...

AZAM KUWAFUATA AL MERREIKH LEO USIKU

Na. Richard Bakana, Dar es salaam MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya Tanzania bara na wawakirikishi kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika, Azam FC, leo wanatarajia kukwea pipa moja kwa moja kuwawinda Al Merreikh katika mchezo wa marudiano huko Sudan. Akizungumza na Shaffihdauda.com Afisa...

STAND NA SIMBA ZAINGIZA MIL 31, MBEYA CITY, YANGA MIL 74

Mchezo uliokuwatanisha wenyeji timu ya Stand United kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga dhidi ya timu ya Simba umeingiza jumla ya Sh milioni 31. Juma la watazamaji 5,439 waliingia uwanjani kushuhudia mchezo huo, ambao timu ya Stand imepata mgao wa tsh. 6,564,268.22 na Simba wakipata...

RONALDO AINGIA KWENYE LIST YA MASHUJAA WA TATU REAL MADRID

Mreno Cristiano Ronaldo ni staa wa soka Duniani ambaye kutokana na ubora wake mara nyingi kwenye kurasa za story za michezo huwa zinaandika kuhusu yeye. Neema imeendelea kubaki upande wake, siku chache zilizopita ameongoza kikosi cha Real Madrid kwenye ushindi mzuri walioupata, goli 2-0 ambapo...

MANDAWA, MSUVA WAMBANA MBAVU KAVUMBAGU

Rashid Mandawa anamfukuzia kwa mabao Didier Kavumbangu Na Princess Asia, DAR ES SALAAMMBIO za kuwania kiatu cha dhahabu cha ufungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, zimezidi kunoga ambapo kwa sasa Rashid Mandawa wa Kagera Sugar na Simon Msuva wa Yanga wanamfukuza kwa kasi ya ajabu Didier Kavumbagu...

YANGA SC YAMUACHA COUTINHO SAFARI YA BOTSWANA

Na Pince Akbarm DAR ES SALAAMKIUNGO Andrey Coutinho raia wa Brazil hatakuwemo katika kikosi cha kikosi cha Yanga SC kinachoondoka kesho Dar es Salaam kwenda Botswana kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya BDF XI.Yanga SC wanatarajiwa kuwa wageni wa BDF Ijumaa wiki hii katika mchezo wa marudiano,...

KIPA WA MBEYA CITY AONDOLEWA KIKOSINI

&nbs...

ALICHOSEMA KOCHA WA SIMBA BAADA YA KUFUNGWA NA STAND UNITED

Pamoja na kupoteza nafasi nyingi za kufunga, Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic amesema kweli Ligi Kuu Bara ni ngumu. Kopunovic amekubali hilo baada ya ile mechi waliyolala kwa bao 1-0 mjini Shinyanga dhidi ya wenyeji Stand United. Ameiambia SALEHJEMBE kwamba kulikuwa na makosa mengi kwa...

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO FEB 24,

. . . ....

MAMBO KUMI KUHUSU KOCHA WA MTIBWA SUGAR MECK MEXIME

Salama Jabir. Jina lake linafanana na aliyekuwa Kocha wa Timu ya Tafa TZ, Marcio Maximo, yeye anaitwa Mecky Mexime, amesikika kwenye show ya Mkasi, katika aliyoyaongea kuna haya kumi kutoka kwake, safari yake kwenye soka, uchawi na soka, shule… Hivi ndivyo safari yake kwenye soka ilivyoanza;...