SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 5, 2015

QATAR WAJIPANGA KWA GUARDIOLA

  Wenyeji wa fainali za kombe la dunia za mwaka 2022, Qatar wameonyesha kuwa tayari kumuajiri meneja wa klabu bingwa nchini Ujerumani FC Bayern Munich, Josep "Pep" Guardiola i Sala. Qatar wanatajwa kuwa katika hali ya kuhitaji kufanya kazi na meneja huyo kutokana na kuridhishwa...

KISIGA ATOA YA MOYONI SIMBA, AWATAJA AMBAO WANAKALIBIA KUACHWA

SHABAN Kisiga amelitumia Mwanaspoti kuwaeleza mashabiki zaidi ya milioni 20 wa Simba ukweli wake wa rohoni wa nini hasa kinachoendelea na kilichomtoa kwenye timu hiyo. Hata hivyo, alichosisitiza zaidi ni kwamba ilikuwa inamdhalilisha kwa kumkalisha benchi ila Mwanaspoti limepata habari za uhakika...

NYONI MAXIMO ALINIBADILISHA

  MCHEZAJI wa Azam, Erasto Nyoni, amekuwa akicheza nafasi kadhaa kikosini humo na pia timu ya taifa, Taifa Stars. Unamjua aliyempa uwezo huo ni nani? Amefichua kuwa ni kocha Marcio Maximo, aliyemhamisha kutoka kiungo na kuwa beki. Nyoni alisema wakati Maximo anaifundisha Taifa Stars kati...

FIFA YA IAGIZA SIMBA KUMLIPA MOSOTI

Simba SC imeagizwa kumlipa beki Donald Mosoti Omanwa takribani dola za Marekani 14 400 kwa kusitisha mkataba wa mchezaji huyo raia wa Kenya mwaka jana.Kwenye barua ambayo imeandikwa na Shirikisho la Soka duniani, FIFA, Simba imeagizwa kulipa fedha hizo kwa siku thelathini zijazo pamoja na riba ya...

TUMBA SWEDI BEKI MZURI INGAWA HAITWI STARS

BEKI wa Coastal Union, Tumba Swedi ‘Mdudu Kiwi’ jana alinusurika kupewa kadi nyekundu timu yake ikimenyana na Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.  Tumba, alimchezea rafu mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman kipindi cha pili na refa Athumani...

HILI NDIO GARI JIPYA LA MSANII DIAMOND PLATNUMZ

Katika interview mbili nimewahi kumsikia Diamond Platnumz akitoa msemo mmoja unaofanana lakini katika hizo interview mbili tofauti, akitabasamu alisema ‘kama nafanya kazi kwa bidii ni lazima niishi vizuri pia, nipate ninavyotaka’ Kwa hii picha ya gari aliyopost Diamond kwenye instagram labda...

MASAU BWIRE ASHINDA KESI

Kamati hiyo imeondoa malalamiko dhidi ya Ofisa Habari wa klabu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire kwa vile refa Israel Mujuni Nkongo ambaye ni mlalamikaji hakufika kwenye shauri hilo. Nkongo alimlalamikia Bwire akidai alitoa maneno yenye kuweza kuchochea chuki dhidi yake kwa waamuzi, kwani...

CHEKI MESSI, SUAREZ, NEYMAR WALIVYONG'ARA KWENYE TANGAZO KIVINGINE

NYOTA WA BARCELONA, LIONEL MESSI, NEYMAR, LUIS SUAREZ, GERARD PIQUE NA ANDRES INIESTA WAMEONEKANA WAKIWA KATIKA MUONEKANO TOFAUTI KABISA KATIKA TANGAZO JIPYA LA BARCELONA WALILOLITENGENEZA. TANGAZO HILO NI LA SHIRIKA LA NDEGE YA QATAR AIWAYS INAYOIDHAMINI BARCELONA. ...

EXCLUSIVE: BARAKA KIZUGUTO ATUA TFF

Baraka Kizuguto sasa ndiye atakuwa msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Mara ya mwisho, Kizuguto alikuwa msemaji wa klabu ya Dar Young African. Habari za uhakika kutoka ndani ya TFF, zimeeleza Kizuguto amewapiga kumbo zaidi ya wasemaji kumi kushinda nafasi hiyo. Pamoja na...

ALICHOSEMA KOCHA AZAM BAADA YA KUMALIZA ZIARA DR CONGO

  KOCHA Mkuu wa Azam FC, Mcameroon Joseph Marius Omog (pichani kushoto) amesema ziara ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ilikuwa ya mafanikio.   Akizungumza jana jioni baada ya kurejea Dar es Salaam, Omog alisema kwamba japokuwa hawajashinda mechi, lakini wamepata faida kubwa...

MAGAZETI YA MICHEZO LEO ALHAMISI FEBRUARY 5

. . . . . ....

MAJANGA REAL MADRID

Kikosi cha Carlo Ancelotti kiliifunga Sevilla mabao 2-1 kuendelea kuongoza kwa pointi nne zaidi La Liga, na sasa wanaelekeza nguvu zao kwa wapinzani wao wa jiji la Madrid, wakiwakosa baadhi ya wachezaji muhimu. James Rodriguez na Sergio Ramos wote walitolewa nje ndani ya dakika 25 Uwanja ...

GERRAD APIGA MECHI 700 LIVERPOOL

KIUNGO Steven Gerrard amekuwa mchezaji wa tatu wa Liverpool kutimiza mechi 700 kihistoria baada ya kuichezea timu hiyo jana ikishinda 1-0 dhidi ya Bolton katika mechi ya marudio Raundi ya Nne ya Kombe la FA. Nahodha huyo wa Liverpool, alirejeshwa kwenye kikosi cha kwanza na kocha Brendan...

LIVERPOOL NA BOLTON KATIKA PICHA

MM Mfungaji wa goli la pili la Liverpool PhilipCoutinho baada ya kuipatia timu yake goli la ushishindi hapo jana.  ll vvv  vvv  nnnMshambuliaji wa Bolton Gudjohnsen akishangilia baada ya kuifungia timu yake kwa nji ya penalt...

MADRID BILA RONALDO INAWEZEKANA

Wachezaji wa Real Madrd wakishangilia moja ya magoli yao katika mchezo dhidi ya Sevilla, Real Madrid walishinda goli 2-1 magoli ya Janes Rodriguez dakika ya 12 pamoja na Jese dakika ya 36 goli la Sevilla lilifungwa na Iago Aspas dakika ya ...

LIVERPOOL YASHINDA KWA TAABU FA CUP

Timu ya Liverpool imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Bolton katika mchezo wa raundi ya nne ya michuanoya Fa Cup. Bolton walikuwa wa kwanza kupata goli kupitia kwa Guojohnsen katika dakika ya 59, Raheem sterling akasawazisha dakika ya 86 kabla ya Philip Coutinho kufunga la ushindi dakika ya 90...

LIVERPOOL MAMBO MAGUMU FA CUP MECHI INAENDELEA

Raheem steling akishuhudia timu yake ya Liverpool ikifungwa dhidi ya Bolton 1-0 dakika ya ...

IVORY COAST YATINGA FAINAL

 Timu ya Ivory Coast imeifunga timu ya Congo DR goli 3-1 shukrani kwa Yaya Toure ambaye alifunga goli la kwanza dakika ya 21,Gervinho alifunga goli la pili dakika ya 41 na Kanon akaihakikishi ushindi Ivory Coast kwa kufunga goli la tatu dakika ya 68 na Goli pekee la Congo DR lilifungwa na Mbokani...