
Wenyeji wa fainali za kombe la dunia za mwaka 2022, Qatar
wameonyesha kuwa tayari kumuajiri meneja wa klabu bingwa nchini
Ujerumani FC Bayern Munich, Josep "Pep" Guardiola i Sala.
Qatar wanatajwa kuwa katika hali ya kuhitaji kufanya kazi na meneja
huyo kutokana na kuridhishwa...