SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 14, 2015

JUVENTUS YATINGA FAINAL UEFA

REAL Madrid walihitaji ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Juventus usiku huu ili kutinga fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, lakini ndoto zao zimezimwa Santiago Bernabeu. Cristiano Ronaldo ameamusha uwanja wa mzima wa Bernabeu baada ya kufunga goli la kuongoza dakika ya 23′ kwa mkwaju wa penalti na...