SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 7, 2016

AZAM KUIFUATA BIDVEST SAUZI

NA Haji balou Azam FC inatarajia kuondoka nchini Jumatano ya keshokutwa kuelekea Afrika Kusini ‘Sauz’ kupambana na Bidvest Wits lakini kocha wa timu hiyo, Muingereza, Stewart Hall ametamba kuwa anaondoka akiwa ameshanasa siri nyingi za kiufundi za wapinzani wake hao. Pamoja na hayo, Stewart amesema...