
KLABU
ya Arsenal inasikilizia msimamo wa mwisho wa Petr Cech juu ya
mustakabali wake kabla ya haijamtokea kipa huyo huyo wa Chelsea.
Kipa
huyo wa kimataifa wa Jamhuri ya Czech anajipanga kuondoka Stamford
Bridge mwishoni mwa msimu, na klabu hiyo inajiandaa kuachana na kipa
huyo...