SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 28, 2016

MAYANJA AMTAJA KIPA NAMBA MOJA SIMBA

Na Haji balou Dar es salaam Siku chache baada ya kuanza kibarua cha kukinoa kikosi hicho, Kocha Mkuu wa Simba Mganda, Jackson Myanja, amemtangaza Muivory Coast, Vincent Angban kuwa kipa namba moja kwenye kikosi chake. Kocha huyo aliitoa kauli hiyo, hivi karibuni kabla ya mechi ya Kombe la FA dhidi ya...

KOCHA SIMBA AMTAJA KIPA BORA LIGI KUU BARA

Ligi Kuu Bara imekuwa na ushindani mkubwa, mastraika wakisaka kiatu cha dhahabu makocha wakitafuta ushind VPL, Makipa nao hawapo nyuma, Je! kipa bora msimu huu nani? Kipa wa Azam FC, Aishi Manula, ametajwa kuwa ndiye kipa bora katika Ligi Kuu Bara msimu huu mpaka sasa akiwapiku makipa Deogratius Munishi...