Na Haji balou
Dar es salaam
Siku chache baada ya kuanza kibarua cha kukinoa kikosi hicho, Kocha Mkuu wa Simba
Mganda, Jackson Myanja, amemtangaza Muivory Coast, Vincent Angban kuwa kipa
namba moja kwenye kikosi chake.
Kocha huyo aliitoa kauli hiyo, hivi karibuni kabla ya mechi ya Kombe la FA dhidi ya...