
UTATA
mwingine umeibuka kutoka 'Pambano la Karne' baina ya Floyd Mayweather
na Manny Pacquiao lililofanyika Alfajiri ya juzi ukumbi wa MGM Grand,
Las Vegas, Marekani.
Karatasi
ya kuandika matokeo raundi kwa raundi ya majaji wote watatu, Glenn
Feldman, Burt Clements...