SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 5, 2015

MAJAJI WALIMPA USHINDI PACQUIAO, 'MC' AKAMTANGAZA MAYWEATHER AMESHINDA, USHAHIDI HUU HAPA!

UTATA mwingine umeibuka kutoka 'Pambano la Karne' baina ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao lililofanyika Alfajiri ya juzi ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas, Marekani.  Karatasi ya kuandika matokeo raundi kwa raundi ya majaji wote watatu, Glenn Feldman, Burt Clements...

SANCHEZ APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA 3-1 HULL CITY

Mshambuliaji wa kimataifa wa Chile, Alexis Sanchez (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa KC. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Aaron Ramsey wakati la Hull lilifungwa...