SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jul 6, 2016

KIUNGO WA SEVILLA ASAINI MILAN

Na Haji balou
Timu ya Inter Milan imekalilisha usajili wa kiungo wa Sevila Na timu ya taifa ya Argentina Ever banega kwa mkataba wa miaka mitatu.

Banega aliisaidia Sevilla kuchukua mataji mawili mfululizo ya kombe la Europe league Na sasa ameamua kwenda Italy kwa uhamisho huru ili kitafuta changamoto mpya.

SIMBA YAMWEKA NJIA PANDA ISIHAKA

NA Haji Balou
Beki wa kati wa timu ya simba Hassan Isihaka amesema bado hajajua mustakabali wake Na timu yake ya simba katika msimu ujao.

“Wao bado hawajanifuata na mimi niko
njia panda kwani sifahamu lolote juu ya
maisha yangu ya Simba kama nitakuwepo
kwenye timu katika msimu ujao ama la,
lakini ni bora waniambie mapema nijue
nachukua maamuzi gani.

“Nasikia tu tetesi kuwa wanataka
kunipelekea Mbao FC ya Mwanza, lakini
kwangu sidhani kama nitaenda huko kwa
sababu mchezaji ndiye anayechagua wapi
aende sasa kama wao wamepanga
kunipeleka huko wataenda kucheza
wenyewe,” alisema Isihaka.

SOURCE: CHAMPIONI