
Timu ya likongowele fc imeibuka na ushindi wa goli 4-3 dhidi ya Mnalani fc katika mchezo wa ligi ya Mbuzi Vijana Cup uliopigwa katika uwanja Shule ya Msingi Muungano.
Magoli ya timu ya Likongowele yamefungwa na Twaha Tido katika dakika ya 39,SelemaniMpoto katika dakika ya 47 na 60 huku...