SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 7, 2016

LIKONGOWELE YAICHAPA MNALANI 4-3

Timu ya likongowele fc imeibuka na ushindi wa goli 4-3 dhidi ya Mnalani fc katika mchezo wa ligi ya Mbuzi Vijana Cup uliopigwa katika uwanja Shule ya Msingi Muungano. Magoli  ya timu ya Likongowele yamefungwa na Twaha Tido katika  dakika ya 39,SelemaniMpoto katika dakika ya 47 na 60 huku...

TAARIFA MPYA KUHUSU FARIDI MUSSA KUCHEZA ULAYA

Na Haji balou Winger wa Azam na timu ya taifa ya Tanzania Farid Musa amefaulu majaribio yake kwenye klabu ya Deportivo Tenerife ya Hispania ambako tayari pia amefaulu vipimo vya afya na kinachosubiriwa ni makubaliano kati ya klabu hizo mbili ili kukamilisha deal. Lakini nyuma ya pazia, kuna story kwamba...