
Na Alex Sanga, SHINYANGASTAND United ya Shinyanga inainyatia saini ya kipa wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Juma Kaseja, imeelezwa.Mkurugenzi
wa benchi La Ufundi wa Stand United, Muhibu Kanu ameiambia BIN ZUBEIRY
jana kwamba, wana mipango ya kumsajili kipa huyo wa zamani wa Simba...