SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 4, 2016

HIVI NDIO VIWANGO VIPYA VYA SOKA MWEZI MARCH

Na Haji balouList ya viwango vipya vya soka ulimwenguni imetangazwa March 3 2016, FIFA imetangaza viwango hivyo vya FIFA na nchi ya Ubelgiji ambayo anacheza soka la kulipwa mtanzania Mbwana Samatta ipo nafasi ya kwanza ikufuatiwa na Argentina. Tanzania ipo nafasi ya 125 ukilinganisha na miezi miwili...

MESSI APIGA TATU BARCA YAUWA 5-1 LA LIGA

NA Haji balou BARCELONA imezidi kukimbia kivuli chake katika Ligi Kuu ya Hispania, maarufu kama La Liga baada ya ushindi wa mabao 5-1 usiku huu dhidi ya wenyeji Rayo Vallecano Uwanja wa Rayo Vallecano mjini Madrid. Mwanasoka bora kabisa kuwahi kutokea duniani, Lionel Messi amefunga mabao matatu peke...