SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 20, 2015

VAN GAAL AKUALI YAISHE ATANGAZA KUJIENGUA

Meneja wa klabu ya Man Utd, Louis van Gaal ametangaza kustahafu kufanya kazi aliyo nayo sasa mara atakapomaliza mkataba wake na klabu hiyo ya nchini England. Van Gaal, sanjari na wachezaji wake mwishoni mwa juma hili watakabiliwa na mchezo muhimu katika ligi ya nchini England...

CANNAVARO AREJEA MZIGONI, YU TAYARI KWA MGAMBO KESHO

CANNAVARO (WA TATU KUSHOTO) AKIWA NA WENZAKE WAKIJIFUA KWENYE UWANJA WA MKWAKWANI MJINI TANGA, LEO. Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amerejea mazoezini na kuungana na wenzake mjini Tanfa. Cannavaro ambaye alishonwa nyuzi saba baada ya kupasuka usoni wakati wa mechi ya watani...

RATIBA ROBO FAINALI UEFA HII HAPA

Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali huku Real Madrid ikipewa Atletico Madrid. Wapinzani hao wakubwa kutoka nchini Hispania walicheza fainali ya mwaka jana ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Real Madrid kuibuka na ushindi, tena katika...

SSERUNKUMA YUPO SIMBA MILELE, WAKALA ASEMA

Na Vincent Malouda, NAIROBIWAKALA wa straika la Simba SC Dan Sserunkuma, Ken Joseph, amesisitiza kuwa mteja wake yungali mchezaji wa Wekundu wa Msimbazi hadi mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa mwaka 2016.Kumekuwepo na tetesi kuwa raia huyo wa Uganda tayari amewaandikia viongozi...

ALICHOSEMA SSERUNKUMA KUHUSU UCHAWI SIMBA

Mshambuliaji wa klabu ya Simba pamoja na Timu ya Taifa ya Uganda, Dan Sserunkuma, amefunguka ya moyoni kuhusiana na ushirikina na kusema kuwa, Hajawahi kuambiwa na uongozi wa timu juu ya kutumia maswala hayo licha yakuwa Imani yake hairuhusu Ushirikina.  Nyota huyo ambaye alikuwa...

KOCHA ENGLAND ATOA YAMOYONI KUHUSU HARRY KANE

  Kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson amesema ingeshangaza sana kama mchezaji kinda wa klabu ya Tottenham Harry Kane asingejumuishwa katika kikosi cha Nchi hiyo kinachotarajiwa kumenyana na Lithuaniana na Italy. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21, ni miongoni mwa wachezaji...

KILICHOANDIKWA KWENYE KURASA ZA MBELE NA ZA NYUMA MAGAZETI YA MICHEZO LEO IJUMAA.

. . . . . . ....

HANS POPPE: KANUNI MPYA ‘HATUJABUGI’, ACHENI UMBEYA

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe amesema kwamba anashangazwa na habari za upotoshaji zinazoenezwa kuhusu kanuni mpya ya adhabu za kadi, kwamba klabu yao ilipotoshwa.Akizungumza na BIN ZUBEIRY jana Dar es Salaam, Hans Poppe...

AIBU HII HAIJAWAHI KUTOKEA ENGLAND!

EVERTON imekuwa timu ya mwisho ya England na Uingereza kwa ujumla kutolewa katika michuano ya Ulaya, baada ya kufungwa mabao 5-2 Dynamo Kiev usiku wa Alhamisi. Everton inatolewa katika hatua ya 32 Bora kwa jumla ya mabao 6-4, baada ya awali kushinda 2-1 nyumbani. Romelu...

EVERTON NAYO NJE MICHUANO YA ULAYA

Wachezaji wa Everton wakiwa hoi jana Uwanja wa NSK Olimpiyskiy mjini Kiev, baada ya kufungwa mabao 5-2 na wenheji Dynamo Kiev katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Europa League hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 6-4, baada ya awali kushinda 2-1 nyumbani....