
Na Haji balou
Mshambuliaji Divock Origi akikimbia
kushangilia baada ya kuifungia
Liverpool bao la tatu katika ushindi
wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye
mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni
ya leo Uwanja wa Anfield. Origi
alifunga mabao mawili, wakati
mengine yamefungwa na Alberto
Moreno na Daniel Sturridge...