SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 10, 2016

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOOL AKIUA 4-1

Na Haji balou Mshambuliaji Divock Origi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Origi alifunga mabao mawili, wakati mengine yamefungwa na Alberto Moreno na Daniel Sturridge...

VARDY APIGA MBILI LEICSTER YAZADI KUKAA KILELENI

Na Haji balou Leicester imeitungua Sunderland kwa mabao 2-0, yote mawili yakiwa yamefungwa na mshambuliaji wake hatari Jamie Vardy. Vardy amefikisha mabao 21 akiwa anakimbilia ufungaji bora, huku Leicester iliyobakiza mechi tano tu za Ligi Kuu England ikiwa imeanza kusikia harufu ya ubingwa. Ushindi...

BARCA YAPIGWA YAWEKA UBINGWA REHANI

Mikel Oiarzabal aliifungia Sociedad bao pekee dakika ya 5 kipindi cha kwanza lililowapa pointi tatu huku Barca ikishindwa kusawazisha goli hilo hadi dakika 90 zinamalizika. Kichapo hicho kimewafanya Barca kusogelewa na Atletico Madrid kwenye mbio za ubingwa ambapo sasa Barcelona inaididi Atletico kwa...