
HII sasa sifa!. Mabingwa watetezi wa Bundesliga, Bayern Munich wameifunga Hamburg SV mabao 8-0 katika mechi ya ligi kuu nchini Ujerumani.
Mabao ya Bayern yamefungwa Thomas Muller (2), Arjen Robben (2), Mario Gotze (2), Frank Ribery na Robert Lewandowski wakifunga goli moja moja.
Katika mechi nyingine,...