SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 15, 2015

KUTOKA NOU CAMP MAPUMZIKO MATOKEO YAPO HAPA

  Timu ya Barcelona inaongoza goli 2-0 dhidi ya Levante na sasa ni mapumziko wafungaji wa Barcelona leo ni Neymar dakika ya 17 na Messi dakika ya 3...

MATOKEO ARSENAL MAPUMZIKO

Kutoka uwanja wa Emirates Arsenal inaongoza goli 2-0 dhidi ya Middlesbrough na sasa ni mapumziko shukran kwa Giroud aliye funga magoli yote mawi...

AZAM FC NA EL MERREIKH KATIKA PICHA LEO CHAMANZI COMPLEX

KIPRE TCHETCHE AKIMTOKA NA KUMGARAGAZA BEKI WA EL MERREIKH KATIKA MECHI YA KWANZA YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO. AZAM FC IMESHINDA KWA MABAO 2-0. CHEKI PICHA ZAIDI NDANI YA CHAMAZI. ...

JULIO AREJEA LIGI KUU BARA

Jamhuri Kihwelo 'Julio' amerejea Ligi Kuu Bara baada ya kuikosa nafasi hiyo msimu uliopita baada ya Stand United ya Shinyanga pia kushinda rufaa yake. Lakini leo kikosi chake cha Mwadui FC kimeshinda kwa mabao 4-1 dhidi ya Burkina Faso ya Morogoro. Wakati kikosi hicho...

JOHN BOCCO AWAPA RAHA AZAM FC CHAMANZI

KAVUMBAGU AKISHANGILIA BAADA YA KUIFUNGIA BAO AZAM FC LEO DHIDI YA VIGOGO BARANI AFRIKA, EL MERREIKH YA SUDAN. Ingawa ilionekana haitawezekana, Azam FC wamebadili mambo na kuonyesha katika soka kweli linawezekana baada ya kuichapa El Merreikh ya Sudan kwa mabao 2-0 katika mechi ya kwanza...

BABA YAKE DULLY SYKES AFARIKI DUNIA

Dully Sykes ni mmoja ya mastaa ambao wamekuwa kwenye njia ya safari ya Bongo Fleva kwa muda, huenda mapenzi ya baba yake mzazi kwenye muziki kulifanya Dully awe zaidi ya msanii mwenye kipaji cha kuimba peke yake. Leo FEB 15 majonzi kwa ndugu, jamaa na watu wa karibu na familia ya mzee Abby Sykes,...

SIMBA YAIFUNGA POLISI MORO

WEKUNDU wa Msimbazi Simba SC, wameunguruma katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro baada ya kuitandika mabao 2-0 Polisi Moro katika mechi ya ligi kuu soka Tanzania bara iliyomalizika jioni hii. Bao la kwanza la kikosi hicho cha Mserbia,  Goran Kopunovic limefungwa na Ibrahim Hajib...

MTIBWA MAJANGA YANAENDELEA

TIMU ya Stand United imeichapa mabao 4-1 Mgambo Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Kambarage Shinyanga.Ushindi huo unakuja siku chache baada ya wachezaji wa timu hiyo kupewa mafundisho...

YANGA SAFARI MBEYA MECHI MBILI DABO

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMKIKOSI cha Yanga SC kinaondoka Alfajiri ya kesho Dar es Salaam kwa basi lao kubwa, kuelekea Mbeya kwa ajili ya mechi na wenyeji Prisons Alhamisi.Yanga SC watateremka Uwanja wa Sokoine, Mbeya katikati ya wiki kusaka pointi tatu dhidi ya timu hiyo ngumu...

MALINZI KAMISAA MECHI YA IVORY COAST NA AFRIKA KUSINI FAINALI ZA U17 AFRIKA

FAINALI za Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 zinaanza leo mjini Niamey, Niger, wakati kesho Ivory Coast ikifungua dimba na Afrika Kusini, mechi ambayo Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi atakuwa Kamisaa. Mechi za ufunguzi leo ni kati ya wenyeji Niger dhidi...

KOCHA AWAONYA SIMBA LEO

Kocha wa Polisi Moro, Adolf Rishard amewaambia Simba haitakuwa kazi lahisi leo. Simba inashuka dimbani Jamhuri mjini Morogoro katika mechi ya Ligi Kuu Bara. Rishard amesema kikosi chake kimejiandaa na ana imani kubwa kuwa wataonyesha mchezo mzuri. “Tunajua Simba ni timu nzuri,...

BOATENG KUWEKA REKODI UJERUMANI

Jerome Boateng sasa anataka kuwa nahodha wa kwanza mweusi wa timu ya taifa ya Ujerumani. Beki huyo wa kati wa Bayern Munich ameonyesha ujasiri huo na kusisitiza angependa kuipata nafasi hiyo. Boateng ambaye alionekana si lolote Man United, tayari amepata mafanikio makubwa kwa kuchukua...

TAMBWE: TUTAPATA USHINDI UGENINI

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amesema wangeweza kufunga mabao mengi zaidi katika mechi yao dhidi ya BDF, jana. Lakini akasisitiza, hata ugenini Botswana, bado wana nafasi ya kurekebisha na kufunga mabao mengine. "Kweli tungeweza kupata mabao mengi zaidi na lingekuwa jambo zuri. "Hata ...

LUKAKU KUIHAMA EVERTON

Romelu Lukaku anaweza kuondoka Goodison  KLABU za West Ham na Tottenham zimeanza mipango ya kumshawishi mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku ili kuinasa saini yake majira ya kiangazi mwaka huu. Wiki iliyopita...

SIMBA KAMILI KUIVAA POLISI MORO

MJI wa Morogoro uko shwari kabisa mpaka muda huu! huku wadau wa soka wakisubiri mechi ya jioni uwanja wa Jamhuri baina ya Polisi Morogoro na Mnyama Simba. Afisa habari wa Simba, Humphrey Nyasio ameuambia mtandao huu kuwa kikosi cha Simba kipo tayari kuchukua pointi tatu muhimu. “Sisi tuko poa...

MCHEZAJI WA KITANZANIA APATA TUZO QATAR

Kinda Martin Tangazi ambaye amenyakua tuzo ya mchezaji bora wa Aspire Sports Academy ya nchini Qatar kwa mwezi Januari. Na. Richard Bakana, Dar es salaam Mvua ya Neema imezidi kumyeshea Kinda wa Kitanzania, Martin Tangazi anayekipiga kunako Academy ya Aspire nchini Qatar baada ya juzi Ijumaa Februari...

AZAM KAZI MOJA TU LEO

KILA la kheri Azam fc katika mechi yenu ya raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya El Merreick ya Sudan inayopigwa leo jioni uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Ili kusaka ushindi katika mechi hiyo Mliweka kambi ya wiki mbili nchini Uganda, Mkashiriki michuano ya kombe la Mapinduzi...

BAYERN BALAA, MTU AGONGWA 8-0

HII sasa sifa!. Mabingwa watetezi wa Bundesliga, Bayern Munich wameifunga Hamburg SV mabao 8-0 katika mechi ya ligi kuu nchini Ujerumani. Mabao ya Bayern yamefungwa Thomas Muller (2), Arjen Robben (2), Mario Gotze (2), Frank Ribery na Robert Lewandowski wakifunga goli moja moja. Katika mechi nyingine,...