SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 2, 2015

USIKU WA ZARI ALL WHITE PARTY ULIVYOFANA NDANI YA MLIMANI CITY JIJINI DAR

Diamond Platnumz akimbusu mpenzi wake Zari katika usiku wa Zari All White Party ndani ya Mlimani City. Zari na Diamond katika pozi ndani ya Mlimani City. Zari na Diamond wakati wakiingia ukumbini. Wasanii wa Yamoto Band wakiwa wametulia tayari kwa shoo. Mpiga Picha Mkuu wa Global...

HIKI NDIO KITUO KITAKACHO RUSHA LIVE MECHI YA YANGA LEO

AZAM TV, Televisheni namba moja Tanzania ya michezo na burudani- leo inatarajiwa kuonyesha moja kwa moja mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya wenyeji Etoile du Sahel nchini Tunisia.Mchezo huo utaanza Saa 1:00 usiku kwa Saa za Kaskazini mwa Afrika na Saa 3:00 usiku kwa Saa za Afrika...

HII NDIO KAULI YA MSUVA KUELEKEA MECHI YA ETOILE

WINGA wa Dar Young Africans, Simon Happygod Msuva amefurahia hali ya hewa ya Tunisia na kusema wanaweza kuwafunga Etoile du Sahel. Mchezo huo wa marudiano wa hatua ya 16 ya kombe la shirikisho utapigwa kesho jumamosi katika dimba la Olympique de Sousse katika mji wa Sousse kuanzia majra ya...

KAVUMBAGU APONDEA TUZO ZA KILA MWEZI VPL, ADAI ZINAENDESHWA KWA KUJUANA

Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam Mshambuliaji wa klabu ya Azam FC, Didier Kavumbagu, amefunguka ya moyoni juu ya muenendo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ambayo inaelekea ukingoni na kusema kuwa inaendeshwa kwa kujuana zaidi. Akizungumza na Shaffihdauda.com Mshambuliaji huyo ambaye alijiunga...

PLUIJM ATANGAZA KIKOSI KITAKACHOIVAA ETOILE DU SAHEL, LEO

Kocha Hans van der Pluijm ametangaza kikosi kitakachoanza leo Jumamosi dhidi ya Etoile du Sahel. Mholanzi huyo ametangaza kikosi hicho baada ya mazoezi ya mwisho. KIKOSI: 1) Ally mustapha 2) Mbuyu Twite 3) Oscar Joshua 4) Kelvin Yondan 5)  Nadir Haroub 6) Saidi makapu 7) Saimon...

MAYWEATHER AMZIDI UZITO PACQUIAO, LAKINI IKO POA TU KWA WELTER

Bondia Floyd Mayweather Jr akiwa kwenye mzani wakati wa kupima uzito ukumbi wa MGM Grand usiku wa kuamkia leo kuelekea pambano lake na Manny Pacquiao usiku wa kuamkia kesho kwenye ukumbi huo. Mayweather 'alibalanasi' uzito wa pambano (Paundi za 147 za Welter), tena akiwa amepungua...