Rais wa Simba, Evans Aveva amesema suala la kuibinafsisha klabu hiyo linahitaji ungalifu mkubwa katika mambo kadhaa.
Aveva
amesema kuwa Simba inaweza kubinafsishwa lakini lazima uongozi
uhakikishe na kujua thamani ya klabu hiyo ikiwa imeishajiridhisha kama
ubinafsishaji kweli una...