SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 6, 2015

HERRERA: TUNAIHESHIMU ARSENAL

Na Amplifaya Amplifaya Mchezaji kutoka Manchester United Ander Herrera amesema kuwa wanaisubiri Arsenal kwa nguvu zote hapo jumatatu katika kombe la FA huku akisema kwa mkazo kuwa hawaiogopi bali wanaiheshimu. Mara baada ya mechi ya mwisho kuisha na Manchester United kupata point 3 dhidi ya...

KIINGILIO SIMBA NA YANGA SC SH. 7,000 BEI NAFUU

Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAMSHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa siku ya jumapili kati ya Simba SC na Young African utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin...

TAIFA STARS KUIVAA MALAWI

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) itashuka dimbani Machi 29 mwaka huu, kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya Malawi (The Flames) katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.Mchezo huo wa kirafiki ambao upo katika kalenda ya FIFA kwa timu za...

RAIS KIKWETE AZINDUA STUDIO ZA KISASA ZA AZAM TV TABATA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akifunua jiwe la msingi la jengo la Azam TV, Tabata Relini, Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa studio za kisasa kampuni hiyo. Rais Kikwete akikata utepe wa jengo la studio za Azam FC. Kulia ni Mwenyekiti wa makampuni ya Bakhresa...

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO MARCH 6

. . . . . . ...

ALICHOSEMA SCHOLES KUHUSU MAN UNITED

KIUNGO wa zamani wa klabu ya Manchester United, Paul Scholes (pichani) amesema kuwa timu hiyo inaonekana kucheza katika kiwango cha chini kwa msimu huu kuliko msimu uliopita licha ya kuwa kocha Louis Van Gaal ametumia kiasi kikubwa katika kufanya usajili.Kiungo huyo ambaye kwa sasa ni mchambuzi...

PICHA; MWONEKANO WA STUDIO ZA AZAM TV ZILIZOGHARIMU BILIONI 56

Mwonekano wa studio mpya na kisasa za Azam TV zilizopo Tabata Relini, Dar es Salaam ambazo ujenzi wake umegharimu zaidi ya dola za Kimarekani Milioni 31 ambazo ni zaidi ya Sh. Bilioni 56 za Tanzania. Ni studio zenye hadhi ya kimataifa Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando...

HAWA NDIO WACHEZAJI MATAJIRI DUNIANI

MRENO Cristiano Ronaldo ndiye mwanasoka tajiri zaidi duniani akiwa na utajiri wenye thamani ya Pauni Milioni 152, ikiwa ni Pauni Milioni 7 zaidi ya hasimu wake mkubwa, Muargentina Lionel Messi. Baada ya msimu mzuri wa 2014, ambao ilishuhudiwa Ronaldo akiiwezesha Real Madrid kutwaa...