SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 9, 2015

MAYWEATHER AMGEUZIA KIBAO PACQUIAO, AMUITA MWOGA NA HATAKI KUPIGANA NAYE TENA

BONDIA Floyd Mayweather amemuita mpinzani wake Manny Pacquiao mwoga na amekataa pambano la marudiano. Mayweather alishinda kwa pointi katika 'Pambano la Karne' la utajiri wa Pauni Milioni 300 mjini Las Vegas mwishoni mwa wiki iliyopita. Pacquiao baadaye akasema kwamba aliumia bega wiki...