SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 22, 2016

WAKAANGA SUMU WAPEWA POINT BILA KUTOKA JASHO

NA Haji balou Ligi ya mbuzi vijana cup imeendelea tena leo  may 22 kwa mchezo mmoja kati ya kati ya Black star dhidi ya Wakaanga Sumu Lakini timu ya Black star haikujitokeza uwanjani na haijatoa taarifa yeyote kwa uongozi wa Ligi . Uongozi wa ligi unalazimika kutoa pointi tatu kwa timu ya Wakaanga...