SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 7, 2015

HARRY KANE APIGA ZOTE MBILI SPURS IKIICHAPA 2-1 QPR

Mchezaji wa Tottenham, Harry Kane (kushoto) akiruka juu kupiga mpira kwa kichwa kumfungia kipa wa QPR timu yake ikishinda 2-1 dhidi ya wenyeji wao hao katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kane alifunga mabao yote ya Spurs, wakati bao la QPR lilifungwa na Sandro....

JONNY EVANS NAYE ‘JELA’ MECHI SITA ENGLAND

BAADA ya Chama cha Soka England (FA) kumfungia mechi saba mshambuliaji wa Newcastle United, Papiss Cisse kwa kosa la kutemeana mate na beki wa Manchester United, Jonny Evans pia chama hicho kimempa adhabu hiyo beki huyo licha ya kukataa kufanya kosa hilo hapo awali.FA imemfungia...

KAVUMBANGU AING’ARISHA AZAM FC CHAMAZI, JKT ALALA 1-0

 Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMBAO pekee la Didier Kavumbangu, limeipa Azam FC ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKT Ruvu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jioni ya leo.Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Burundi, Kavumbangu alifunga bao hilo dakika ya 17 kwa kichwa akimalizia krosi ya...

PICHA: ALI KIBA ALIVYO PERFORM MOSHI JANA.#CHEKETOUR

Mkoa wa kwanza kufikwa na tour ya Ali Kiba ni Kilimanjaro ambapo Moshi walipata nafasi ya kushuhudia show ya Ali Kiba kwenye stage na wimbo wa Cheketua kwa mara ya kwanza Club La Liga. Show hii pia ilisindikizwa na Recho kutoka THT,kwa maelezo ya Ali Kiba mbali na kuiperfoam Chekecha kwa mara...

MAN CITY YAMUAHIDI MAMBO KIBAO MAZURI YAYA TOURE AONGEZE MKATABA

KLABU ya Manchester City ipo tayari kumpa ofa ya Ubalozi wa klabu, kiungo wake Yaya Toure atakapostaafu soka. Nahodha huyo wa Ivory Coast, amebakiza miaka miwili na nusu katika Mkataba wake wa sasa, lakini City inafungua mazungumzo ya kumuongezea Mkataba, kwa sasa akiwa analipwa Pauni...

CISSE APEWA ADHABU KAMA YA JUMA NYOSSO EPL

MSHAMBULIAJI wa Newcastle United, Papiss Cisse amefungiwa mechi saba kwa kuhusika kutemeana mate na beki wa Manchester United, Jonny Evans. Evans kwa upande wake, anaweza kufungiwa mechi sita kama atakutwa na hatia baada ya Chama cha Soka England kuwafungulia mashitaka wote wawili. Tukio ...

HIZI NI KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAMOSI

. . . . . . . . ....

STURRIDGE ASEMA SASA YUKO 'FULL 100'

MSHAMBULIAJI wa klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge amesema yupo fiti kucheza kila mchezo licha ya kocha wake Brendan Rodgers kumpuzisha katika baadhi ya michezo kwa lengo kumlindaBaada ya Liverpool kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Burnley katikati ya juma hili kocha Brendan...

RAIS KIKWETE ASEMA AZAM FC IMEVUNJA UKIRITIMBA WA SIMBA NA YANGA TANZANIA

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameisifu klabu ya Azam FC kuvunja ukiritimba wa Simba na Yanga katika soka ya Tanzania.Akizungumza leo wakati wa uzinduzi wa studio za kisasa za Azam TV, eneo la Tabata Relini, Dar es...

MATAJIRI YANGA SC 'WAWATIA MIZUKA' WACHEZAJI WAUE MNYAMA JUMAPILI TAIFA

Na Princess Asia, DAR ES SALAAMKIKOSI cha Yanga kimeendelea kujifua kwa mazoezi makali kabla ya kuwavaa watani wao Simba lakini jana jioni kikapokea ugeni ambao ukaachia mshiko wa maji.Yanga ambayo imeweka kambi Bagamoyo katika hoteli ya Kiromo huku wakifanya mazoezi katika Uwanja...

KOPUNOVIC: MBINU ZA PLUIJM ZIPO KWENYE KIGANJA CHA MKONO WANGU

Na Princess Asia, DAR ES SALAAMSIMBA SC ipo Zanzibar wakati wowote kuanzia leo usiku inaweza kurejea tayari kwa mchezo wao dhidi ya Yanga lakini kocha wao Goran Kopunovic ametamka kwamba hana wasiwasi na mbinu za mwenzake wa Yanga Hans Pluijm.Akizungumza na BIN ZUBEIRY, Kopunovic...