SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 3, 2015

YANGA WAZUA JIPYA KUHUSU AJIBU, WASEMA HAKUPASWA KUCHEZA

Yanga wameibuka na jipya huku wakimtaja mchezaji wa Simba Ibrahim Ajibu hakupaswa kucheza mechi dhidi ya Prisons ambayo alifunga bao tatu au hat trick. Yanga wamesema Ajibu alikuwa na kadi tatu, lakini Simba walimchezesha kutumia kanuni ambazo bado hazijapitishwa. Kanuni hizo ni zile...

KOPUNOVIC AKATAA MECHI YA KIRAFIKI YA USIKU HUKO ZANZIBAR

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic amekataa kikosi chake kucheza mechi ya kirafiki usiku. Wanachama wa Simba walio Zanzibar walikuwa wametafuta mechi ya kirafiki baada ya ombi la kocha huyo lakini ikaonekana inatakiwa kuchezwa usiku. Kopunovic amechukua uamuzi wa mechi hiyo kwa kusema...

SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI TAIFA

Serikali imesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia leo (Machi 3, 2015) hadi kasoro zilizopo katika matumizi ya tiketi hizo zitakapoondolewa.Uamuzi huo umetangazwa leo (Machi 3, 2015) jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Habari,...

YANGA YAGOMEA MECHI YA WANAJESHI

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMKLABU ya Yanga imeigeukia kwa sura ya mbogo Bodi ya Ligi Tanzania baada ya kuahirishwa kwa mchezo wao dhidi ya JKT Ruvu na wakasisitiza kwamba hawatakuja uwanjani.Akizungumza na na waandishi wa habari leo Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Yanga Jerry...

SOFAPAKA YAWAPA YANGA SC NJIA MTEREMKO YA KUWANG’OA WAZIMBABWE

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMYANGA SC imepata msaada mkubwa wa taarifa za wapinzani wao katika kampeni ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika kwa kupata siri nzito juu ya klabu ya Platinum ya Zimbabwe.Yanga ambayo jana ilirejea nchini ikitokea Botswana ilikokwenda kuwatupa nje ya...

KURASA ZA MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI YA LEO JUMANNE TAREHE 3/3/2015

. . . Ads by Dynamo ComboAd Options . . ....

ALICHOSEMA MPOKI KUHUSU MSIBA WA KAPTENI KOMBA

Msanii wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28. Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena @CloudsFM, alianza kuzungumzia...

SAMATTA ARUHUSIWA KUONDOKA TP MAZEMBE

Samatta (kushoto) alifanya majaribo CSK Moscow ya Urusi Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam, Mshambulizi wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ameweka wazi kuwa ataachana na mabingwa mara nne wa kihistoria wa Afrika, TP Mazembe mara baada ya kumalizika kwa mkataba wake.  Akizungumza na...

AZAM WAACHE KULALAMIKA HILI NDIO FUNZO LA KUCHUKUA BAADA YA RABAT, NAMPULA NA KHARTOON....

Na Baraka Mbolembole, Dar es  Salaam, AZAM FC walikutana na ‘ matokeo mabaya’ kisha kuondolewa katika michuano ya CAF Champions League. IKicheza kwa mara ya kwanza katika michuano hiyo, huku ikiwa ni mara ya tatu kwa klabu hiyo kucheza michuano ya vilabu Afrika tangu ilipoanzishwa mwaka...

HUYU NDIE ALIYECHUKUA NAFASI YA OMOG AZAM FC

Azam FC imetangaza kumfukuza kazi Kocha Joseph Omog raia wa Cameroon. Pamoja na Omog, Msaidizi wake, Ibrahim Shikanda ametimuliwa na mikoba amepewa George Best Nsimbe raia wa Uganda ambaye ni msaidizi wake namba moja. ALIVYOKARIBISHWA NA UONGOZI WA AZAM FC, MWENYEKITI WA AZAM FC, SAID...

PLUIJM AFURAHIA SIKU SABA ZA MAANDALIZI DHIDI YA SIMBA

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema wiki moja ya maandalizi kwa ajili ya Simba, itawasaidia sana. Yanga inaivaa Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara utakayopigwa Jumapili ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Tayari Yanga iko kambini mjini Bagamoyo ambako ilipitiliza...

WINGA WA SUNDERLAND AKAMATWA NA POLICE

Winga mwenye kasi wa Sunderland, Adam Johnson amekamatwa kwa tuhuma za kufanya ngono na msichana mwenye umri wa miaka 15. Kutokana na tuhuma hizo, Sunderland maarufu kama Black Cat imemsimamisha Johnson aliyewahi kukipiga Man City. Johnson, alikamatwa akiwa kwenye jumba lake la kifahari...