Yanga wameibuka na jipya huku wakimtaja
mchezaji wa Simba Ibrahim Ajibu hakupaswa kucheza mechi dhidi ya Prisons ambayo
alifunga bao tatu au hat trick.
Yanga wamesema Ajibu alikuwa na kadi tatu,
lakini Simba walimchezesha kutumia kanuni ambazo bado hazijapitishwa.
Kanuni hizo ni zile...