
Uongozi wa muziki nchini marekani unao muongoza msanii wa
R&B Chris Brown umetoa taarifa kwa uongozi wa muziki Tanzania unao
muongoza msanii kutoka Tanzania ALI KIBA msanii ambae yupo chini ya
uongozi wa Kampuni za SAMSUNG. Kwa taarifa zilizopo katika mtandao wa
VIP Beats nchini marekani...