SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 10, 2015

SASA NI ALI KIBA NA CHRIS BROWN

Uongozi wa muziki nchini marekani unao muongoza msanii wa R&B Chris Brown umetoa taarifa kwa uongozi wa muziki Tanzania unao muongoza msanii kutoka Tanzania ALI KIBA msanii ambae yupo chini ya uongozi wa Kampuni za SAMSUNG. Kwa taarifa zilizopo katika mtandao wa VIP Beats nchini marekani...

PICHA; SIMBA YAENDELEA KUJIFUA

CHINI YA KOCHA GORAN KOPUNOVIC, SIMBA IMEENDELEA KUJIFUA KATIKA KAMBI YA JESHI IKIWA NI MAANDALIZI KABLA YA KUIVAA TIMU NGUMU YA POLISI MORO, JUMAPILI. ...

HII INAIHUSU VIDEO MPYA YA DIAMOND

. Video ya Nitampata wapi ya Diamond Platnumz baada ya kupitishwa kuchezwa kwenye kituo cha TV cha kimataifa   cha Trace Urban cha Ufaransa,  bado imeendelea kufanya vizuri mpaka kupewa nafasi ya kuchezwa kama Smash Hit kwenye kituo hicho. Hizi ni baadhi ya picha kutoka zikionesha...

BEKI KISIKI YANGA KUWAKOSA WA BOTSWANA

YANGA SC itamkosa beki wake mahiri chipukizi, Edward Charles Manyama katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya BDF XI ya Botswana mwishoni mwa wiki.Edward alitoka nje dakika ya 39 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bada jana Uwanja wa Taifa, Dar...

AZAM ,MTIBWA PATACHIMBIKA KESHO

AZAM FC kesho watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar ya Morogoro katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, mchezo ambao utafanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC, itahitaji ushindi katika mchezo huo ili kurejea kileleni mwa Ligi Kuu, baada ya juzi, wapinzani wao...

MAN CITY WAMTAKA DIEGO SIMEONE

KLABU ya Manchester City inaendelea kumfuatilia kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone kwa ajili ya kumchukua. Mabingwa hao wa Ligi Kuu ya England, wameachwa pointi saba na vinara Chelsea baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Hull City.   Timu hiyo ya Manuel Pellegrini...

NGASSA YANGA WAMEKIUKA MAKUBALIANO

MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Mrisho Ngassa amesimulia machungu ya kimkataba anayokutana nayo ndani ya Yanga, lakini akawaambia viongozi wa klabu hiyo kumlipia deni alilolazimishwa kukopa ili aisaidie klabu hiyo.  Akizungumza mchana huu katika makao makuu ya klabu ya Yanga Ngassa amesema awali...