SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 10, 2016

SIMBA KURUDI KILELENI LEO

NA Haji balou SIMBA SC ina nafasi ya kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo iwapo itashinda dhidi ya Ndanda FC ya Mtwara. Simba wanaikaribisha Ndanda leo katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakihitaji ushindi ili kuongoza ligi. Na...