
NA Haji balou
SIMBA SC ina nafasi ya kurejea
kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania Bara leo iwapo itashinda
dhidi ya Ndanda FC ya Mtwara.
Simba wanaikaribisha Ndanda leo
katika mfululizo wa Ligi Kuu ya
Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa
Taifa, Dar es Salaam wakihitaji
ushindi ili kuongoza ligi.
Na...