SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Nov 11, 2014

KIKOSI BORA CHA WIKI CHA EPL KWA WIKI YA 11.

Ligi Kuu ya Uingereza itaendelea tena tarehe 22 kwa michezo ya mzunguko wa 12 kufuatia kuwa na michezo ya kimataifa itakayopigwa wikiendi hii.   Wikiendi iliyopita baadhi ya timu zilifanya vizuri huku nyingine zikipata matokeo yasiyoridhisha aidha kwa kutoka sare au kufungwa.    Nyota...

MAXIMO KUSAJILI VIUNGU KATIKA DIRISHA DOGO.

Baada ya kuona timu yake inasua sua sehemu ya viungo kocha mkuu wa Yanga Marcio Maximo amepanga kusajili viungo mahili katika dirisha dogo ili kuboresha sehemu hiyo. Yanga tayari imeshapoteza mechi mbili msimu huu, sare moja na kushinda nne ikiwa nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi...

SIRI YA IVO NA MABAO YAKE.

KIPA wa Simba, Ivo Mapunda, juzi Jumapili aliingia uwanjani kucheza dhidi ya Ruvu Shooting huku akiwa amevalia kaushi iliyoandikwa kwa Kiingereza ‘Why us?’ Pia ilikuwa na maandiko ya Biblia ‘Math7:7’ ambayo aliyatolea ufafanuzi. Ivo ambaye aliibukia kwenye mchezo huo baada ya kuwa benchi kwa...

ANGALIA MAJINA YA WALIOFAULU USAILI WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI TANZANIA.

   Wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014 na kidato cha nne mwaka 2013 waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi baada ya usaili kukamilika. Maelekezo Muhimu. Wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014, kidato cha nne mwaka 2013 na JKT Mafinga, Mlale, Ruvu, Mgambo,...

SOCIEDAD WAMWITA MOYES.

David Noyes Kocha wa zamani wa timu ya Manchester United David Moyes ametajwa kuwa meneja mpya wa timu ya kutoka Hispania,Real Sociedad. Kocha huyo mwenye miaka 51, hii ni kazi yake ya kwanza baada ya kutimuliwa...

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

...