SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 12, 2016

HII NDIO DROO YA NUSU FAINAL KOMBE LA FA

Na Haji balou YANGA SC itamenyana na Coastal Union katika Nusu Fainali ya michuano ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federations Cup 2016. Mchezo huo utafanyika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga Aprili 24, mwaka huu, siku ambayo Azam FC itamenyana na Mwadui FC Uwanja...

AZAM YAMZUIA FARID NA HIMID MAO KWENDA ULAYA SABABU IPO HAPA

Na Haji balou UONGOZI wa Azam FC umezuia safari ya kiungo wake Farid Mussa  kwenda Ubelgiji kwa majaribio ya kucheza soka ya kulipwa hadi amalize mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Esperance ya Tunisia Aprili 19. Awali, makubaliano kati ya wakala wa Farid...

HUYU NDIYE MWAMUZI ATAKAYE CHEZESHA MECHI YA ATLET VS BARCA REKODI YAKE INAIBEBA ATLETI

Na Haji balou Mwamuzi wa mechi kali ya Jumatano yenye ushindani mkubwa sana Ligi ya Mabingwa Uefa, ameteuliwa, ni yule aliyechezesha fainali Kombe la Dunia 2014 Mwamuzi wa Kiitaliano Nicola Rizzoli amepangwa na UEFA kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa baina ya Atlético Madrid na Barcelona katika uwanja...