
Na Haji balou
YANGA SC itamenyana na Coastal
Union katika Nusu Fainali ya
michuano ya Shirikisho la Soka
Tanzania (TFF), maarufu kama
Kombe la Azam Sports Federations
Cup 2016.
Mchezo huo utafanyika Uwanja wa
Mkwakwani mjini Tanga Aprili 24,
mwaka huu, siku ambayo Azam FC
itamenyana na Mwadui FC Uwanja...