SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 23, 2016

NDEMLA ANUKIA TP MAZEMBE

Kiungo kinda wa Simba, Said Ndemla, anatarajia kwenda kufanya majaribio kwenye kikosi cha TP Mazembe ya DR Congo ili kusaka nafasi ya kucheza soka katika klabu hiyo. Hivi karibuni, Watanzania, Abuu Ubwa na Haruna Chanongo walienda kufanya majaribio Mazembe ambapo kwa sasa hatua iliyobaki ni makubaliano...