SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 17, 2015

ARSENE WENGER HANA MPANGO NA PETR CECH…HIKI NDICHO ALICHOSEMA

Petr Cech amehusishwa sana na tetesi za kujiunga na Arsenal kipindi cha usajili kikifika. Cech anategemewa kuondoka Chelsea na kutafuta timu nyingine baada ya msimu huu kuisha. Lakini manager wa Arsenal amesema maneno ambayo yamefanya uwezekano wa Cech kwenda Arsenal kuwa ni ndoto. “Hilo ni...

FIFA IMEWA-FORCE BARCELONA KUMRUDISHA MESSI MPYA KWAO JAPAN

Kama alivyolelewa Messi na kuja kuwa mchezaji tegemezi wa Barcelona ndivyo hivyo inavyojaribiwa kwa Kubo ambae tayari ameshapewa jina la Japanese Messi. Kubo mwenye miaka 13 amelazimika kurudi kwao Japan na kujiunga na timu ya FC Tokyo kwa na kuendelea kucheza soka. Kubo alikua La Masia academy...