SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 24, 2015

HII NI REKODI NYINGINE ALIYOIVUNJA RONALDO BAADA YA MCHEZO WA LEO

Mshambuliaji hatari wa Real Madrid ameivunja rekodi aliyoiweka mwenyewe ya misimu 3 iliopita baada ya kuibuka mfungaji bora wa ligi kuu ya Hispania na kufikisha magoli 61 kwa michuano yote ya msimu huu,amefikisha idadi hiyo baada ya kufunga Hat-trick mapema leo baada ya mchezo wao dhidi ya...

NGASSA PUSHAPU 200 KILA SIKU, MAANDALIZI YA PSL SI MCHEZO

Mshambuliaji wa Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Mrisho Khalfan Ngassa hupiga pushapu 200 kila siku asubuhi kabla ya kuingia kwenye programu nyingine za mazoezi kama kukimbia na kucheza na mpira.  Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga SC kwa sasa yupo mapumzikoni...