
Mshambuliaji hatari wa Real
Madrid ameivunja rekodi aliyoiweka mwenyewe ya misimu 3 iliopita baada
ya kuibuka mfungaji bora wa ligi kuu ya Hispania na kufikisha magoli 61
kwa michuano yote ya msimu huu,amefikisha idadi hiyo baada ya kufunga
Hat-trick mapema leo baada ya mchezo wao dhidi ya...