SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Nov 14, 2014

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

.
DSC05567
.
.

ANGALIA PICHA ZA TASWIRA NNE ZA DAVID MOYES AKIWA KATIKA KAZI YAKE


KOCHA DAVID MOYES AKIWA AMEANZA RASMI KWA MARA YA KWANZA KUKINOA KIKOSI CHAKE KIPYA CHA REAL SOCIEDAD CHA HISPANIA. KOCHA HUYO WA ZAMANI WA MAN UNITED AMEANZA KAZI MPYA BAADA YA KUTIMULIWA NA MASHETANI HAO NA NAFASI YAKE KUCHUKULIWA NA LOUIS VAN GAAL AMBAYE HATA HIVYO BADO HAJAKAA VIZURI. MOYES AMESAINI MKATABA WA MIEZI 18 KUINOA TIMU HIYO YA HISPANIA