SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 1, 2016

PEP GUARDIOLA AMEMSAJILI STAA HUYU HAPA KUTOKA SPAIN

Na Haji balou TIMU ya Manchester city imekamilisha uhamisho wa Staa wa kimataifa wa Hispania Na Klabu ya Celta Vigo Manuel Agudo Durán "Nolito" Kwa Ada ya Euro million 13.8. Nolito mwenye umri wa miaka 29 amesaini mkataba wa miaka minne ya kuitumikia Manchester City awali  alikuwa anatakiwa Na...

HAYA NDIO MAAMUZI YA BARCELONA KUHUSU NEYMAR

Na Haji balou Klabu ya Fc Barcelona wamekubali yaishe Na wameamua kukaa pamoja Na mchezaji wao Neymar ili kumbakiza katika kikosini  katika msimu ujao. Staa huyo wa Brazil alikuwa tayari kuihama klabu hiyo ya katalunya Kama watashindwa kuongeza mshahara wake katika msimu ujao. Neymar mwenye umri...