SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 20, 2015

KURASAZAMWANZO NA ZA MWISHO ZA MAAZETI YA MICHEZO LEO APRIL 20

...

KIUNGO ‘BABU KUBWA’ ANAYELIPWA MILIONI 44 KWA MWEZI TAYARI KUTUA YANGA SC

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMKIUNGO anayelipwa dola 25,000 za Kimarekani kwa mwezi Etoile du Sahel ya Tunisia, (zaidi ya Sh. Milioni 44 za Tanzania), Mcameroon Franck Kom amesema yuko tayari kutua Yanga SC iwapo wataweza kumlipa mshahara huo.Kom aliwapoteza kabisa viungo wa...

HANS POPPE AWACHOKOZA YANGA, AWAAMBIA; “MTAFUNGWA TUNISIA, NA PIGA, UA MSUVA ATAVAA JEZI NYEKUNDU”.

Na Hemed Kivuyo, DAR ES SALAAMMWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameendeleza wimbi la kuitisha la kuitisha timu ya Yanga baada ya kutamba kwamba winga wa timu hiyo  Simon Msuva ni damu ya Simba ana atatua Msimbazi msimu ujao.Poppe ameyasema hayo  alipokuwa...

YANGA SC WAINGIA KAMBINI LEO, KESHO WANA STAND UNITED TAIFA

Kocha wa Yanga SC, Hans van der Pluijm Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMYANGAS SC wanarudi kambini leo baada ya mapumziko ya siku moja, kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Stand United kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Yanga SC walilazimishwa sare ya...