SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 26, 2016

MAKOCHA KUMI WA KIHISTORIA LIGI KUU ENGLAND

Makocha 10 bora katika historia ya Ligi Kuu ya England Ligi Kuu ya England huchukuliwa kama ligi bora katika ulimwengu wa soka, ambapo utakuta vilabu kabambe kama Manchester United, Chelsea, Liverpool na Arsenal na nyingine zenye uwezo katika mchuano. Ni ligi ya kupendeza kwa watu wengi duniani ambapo...