SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Feb 18, 2016

MAN UNITED YAPIGWA UGENINI

Man United imetandikwa mabao 2-1 katika mechi ya Kombe la Europa Cup dhidi ya FC Midtjylland ya nchini
Denmark. Pamoja na kwamba ilikuwa ugenini, Man United ilikuwa ikipewa nafasi ya kushinda dhidi ya timu hiyo ndogo. Lakini imefungwa mabao hayo 2-1 pamoja na mshambuliaji wake Memphis Depay kufunga bao moja.