
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa atalazimika kukaa nje ya uwanja
akikosa michezo mitatu ya timu hiyo kwenye ligi ya England baada ya
kukutwa na hatia ya utovu wa nidhamu kufuatia vitendo kadhaa vya mchezo
usio wa kiungwana vilivyoonekana kwenye mchezo dhidi ya Liverpool.
Mshambuliaji huyu...