SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 30, 2015

CHELSEA BILA COSTA NA FABREGAS.

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa atalazimika kukaa nje ya uwanja akikosa michezo mitatu ya timu hiyo kwenye ligi ya England baada ya kukutwa na hatia ya utovu wa nidhamu kufuatia vitendo kadhaa vya mchezo usio wa kiungwana vilivyoonekana kwenye mchezo dhidi ya Liverpool. Mshambuliaji huyu...

NEYMAR AWA TATIZO LA LIGA

Kiungo mshambuliaji wa Barcelona Neymar Da Silva Jr vamekuwa kwenye kiwango cha juu msimu huu ambapo amekuwa sehemu muhimu sana ya timu yake katika michezo ya hivi karibuni . Neymar amedhihirisha ubora wake kwa jinsi ambavyo amekuwa akifunga mabao mfululizo huku akisaidia kwa kutoa pasi za...

ALI KIBA; AMANI NI MUHIMU

Katika kuelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania, amani ikiwa ni somo kubwa linalohubiriwa kwa wananchi kila ngazi, nyota wa muziki Ali Kiba, amesema kuwa yeye pamoja na sanaa yake amekuwa kati ya wadau wanaolitilia mkazo...

WEUSI; TUNAKUJA KIVINGINE

Lile kundi la muziki wa Hip Hop Tanzania ambalo mwaka jana limetamba kwa ngoma kibao kali WEUSI limesema kuwa kwa sasa wanakuja na ngoma nyingine ambayo itafungua mwaka kwa kundi hilo ambayo ni...

MATOLA AUOMBA UONGOZI SIMBA AONDOKE ZAKE

Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola ameuomba uongozi wa timu hiyo umpunguzie majukumu au umuache ende zake. Matola ameuambia uongozi wa Simba kwamba ana mambo ya kifamilia yanayomkabili hivyo asingeweza kupambana na presha inayoendelea. Rais wa Simba, Evans Aveva amesema tayari...

YANGA YAIHOFIA NDANDA FC JUMAPILI

YANGA SC imeendelea kujifua kujiandaa na mechi ya kesho kutwa uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam dhidi ya Ndanda fc. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro amesema katika mazoezi ya leo, kocha mkuu wa klabu hiyo Hans van der Pluijm ameendelea kufanyia marekebisho safu...

ALICHOSEMA MWANA FA KUHUSU VIDEOYAKE YA KIBOKO YANGU ALIYOMSHIRIKISHA ALI KIBA

Rapper Mwana FA amesema kuwa wakati wanarekodi video ya Kiboko Yangu ilibidi warekodi mara mbili kutokana na Camera kuleta usumbufu baada ya kurekodi sehemu ya Ali Kiba, kwa kuwa alikuwa na ratiba ya kufanya show ilimbidi asafiri kwenda kwenye show kisha akarudi kumalizia sehemu ya video hiyo...

HABARI NJEMA KWA GERARD PIQUE NA MPENZI WAKE SHAKIRA

Familia ya mwanasoka mahiri Gerard Pique na mkewe Shakira wamepata ugeni mpya ndani ya familia hiyo baada ya mwanamuziki huyo kujifungua mtoto wa pili wa kiume. Mtoto huyo aliyepewa jina la Sasha likiwa na maana ya Alexander kwa lugha ya Kirussia, alizaliwa katika hospitali iliyopo katika...

PICHA MAANDALIZI YA MWISHO MIAKA 10 YA THT

Miaka 10 ya THT inakamilishwa Jumamosi ya January 31 kwenye ukumbi wa Escape One uliopo Mikocheni,maandalizi ya mwisho kabisa kutoka Escape One yamekamilika na baadhi ya wasanii wanaoperfoam kesho wamefika kwa ajili ya mazoezi ya jukwaani  nimeona nikuletee picha hizi mtu wangu. ...

MANENO YA LINEX KUHUSU MAANDALIZI YA VIDEO YAKE MPYA ALIYO MSHIRIKISHA DIAMONDl PLATNUMPZ

. Msanii wa muziki Linex Sunday Mjenda amefunguka na kusema kesho Jan 31 anatarajia kuingia location kufanya maandalizi ya video mpya ya single yake iitwayo Salima aliyomshirikisha Diamond Platnumz. Akiongea na millardayo.com alisema; ‘Kesho Jumamosi nitaanza ku shoot video ya wimbo wangu unaitwa...

WENGER; PAULISTA HAJUI KIZUNGU

Gabriel Paulista Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba kutojua kizungu kwa beki mpya wa timu hiyo Gabriel Paulista huenda kukaifanya timu hiyo kufungwa mabao. Beki huyo kutoka...

ALICHOSEMA IYANYA KUHUSU JAGUAR

Mbali na wawili hao kufanya collabo ya pamoja kwenye ngoma ya Jaguar mwenyewe iitwayo “One centimeter rmx” akiwa amemshirikisha Iyanya kutoak Nigeria waliingia kwenye utata baada tu ya kutoa ngoma yao hiyo.Utata huo ulianza baaada ya kusambaa kwa video hiyo ambapo Jaguar alitaka ifike kimataifa...

RAIS SIMBA AZUNGUMZIA SUALA LA MAGURI KUDHALILISHWA NA NYOSSO, AIAMBIA TFF ICHUKUE HATUA

Suala la mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri kufanyiwa vitendo vya udhalilishwaji vimepingwa kwa nguvu zote na uongozi wa Simba. Rais wa klabu hiyo, Evans Elieza Aveva kitendo alichokifanya beki Juma Nyosso dhidi ya Maguri kumshika makalio na kumdhalilisha kwa kumuingiza kidole lilikuwa jambo si la kiungwana. Nyosso alifanya kitendo hicho cha...

OKWI KAMILI GADO KUWAVAA JKT RUVU KESHO TAIFA

KIUNGO mshambuliaji wa Simba Sc, Mganda Emmanuel Anord Okwi anatarajia kuivaa JKT Ruvu kesho uwanja wa Taifa katika mechi ya ligi kuu Tanzania bara. Afisa habari wa Simba, Humphrey Nyasio amezungumza na mtandao huu dakika chache zilizopita akiwa uwanja wa mazoezi wa JKT Mbweni ambapo Simba...

DIEGO AFUNGIWA MECHI 3, SCHOLES AMPA TANO ZA UKWELI!!

Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa (kulia) akiondoka na mpira baada ya kumkanyaga  Emre Can PAUL Scholes anaamini kuwa Diego Costa anatakiwa kuigwa kwa uvumilivu wake awapo uwanjani na si kukosolewa...

BAYERN YAMPOTEZEA REUS…MILANGO WAZI KWA CHELSEA, MAN CITY

Bayern Munich wameacha na mpango wa kumsajili Marco Reus  Bayern Munich wameachana na mbio za kumsajili Marco Reus na kuacha milango wazi kwa klabu ya Real Madrid na klabu kubwa za ligi kuu England. Bayern wamefikia maamuzi ya kutomshawishi Reus wiki kadhaa zilizopita kwa madai...

ALI KIBA KUPIGA SHOO "LIVE" SAUTI ZA BUSARA FEB 12 MWAKA HUU

Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka...

Huyu ndio beki ambaye Man United wamegoma kukanusha kutaka kumsajili

Dirisha la usajili barani ulaya limebakiza takribani masaa 48 kabla ya kufungwa, na kama ilivyo ada tetesi za usajili wa wachezaji tofauti zimezidi kushika kasi. Klabu ya Manchester United ambayo imekuwa na udhaifu kwenye kikosi hasa kwenye maeneo ya kiungo na beki wa kati, leo hii Manchester...

Crouch Akataa Kurejea London Kujiunga na Bosi Wake

   Mshambuliaji kutoka nchini England, Peter James Crouch amezima ndoto za aliyekua meneja wake Tony Pulis za kutaka kumuhamisha huko Stoke On Trent na kumpeleka jijini London kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Crystal Palace. Crouch, amezima ndoto hizo baada ya...

SAMATTA AREJEA LUBUMBASHI

 Habari zaidi kutoka lubumbashi zinasema kuwa klabu ya CSKA moscow ya Urusi  iliamua kuachana na Samatta kwa sasa kwa sababu ya kuumia enka akiwa katika wiki ya kwanza ya majaribio.  kiongozi mmoja wa mazembe ambaye hakupenda kutajwa jina alisema kuwa timu hiyo ya ulaya ilivutiwa na...

YANGA SC YAIPA POLE SIMBA SC KWA KUPOTEZA MECHI YA PILI TAIFA

Uongozi wa Yanga SC umewapa pole watani waowa jadi, Simba baada ya kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City katika mechi yao iliyopita. Simba SC iliyokosa huduma ya nyota wake Mganda Emmanuel Okwi, ilipata kipigo hicho cha pili msimu huu na cha kwanza kwa kocha mkuu mpya, Mserbia Goran Kopunovic...

SIMBA, JKT RUVU KAZI IPO KESHO TAIFA

MABINGWA wa kombe la Mapinduzi 2015, Simba SC kesho wanasaka pointi tatu kwa kila namna  ili kupunguza machungu waliyopata kwa kutandikwa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City katika mechi ya ligi kuu iliyopigwa juzi, januari 28 uwanja wa Taifa Dar es salaam. Simba watavaana na Maafande wa JKT...

YANGA YATAFUTA GIA YA KUVUNA USHINDI KWA NDANDA FC

YANGA yenye kumbukumbu ya ushindi wa goli 1-0 iliovuna mwishoni mwa wiki iliyopita Uwanja wa Jamhuri Morogoro dhidi ya Polisi Moro inawania pointi tatu zingine jumapili, februari 1 mwaka huu itakapocheza na Ndanda fc uwanja wa Taifa Dar es salaam. Hiyo itakuwa mechi ya nne ya ligi kuu kwa...

ALICHOKISEMA MCHEZAJI WA ZAMANI WA SIMBA KUHUSU KUBORONGA KWA TIMU HIYO

KUTOKANA na mwenendo mbovu wa Simba SC katika mechi za ligi kuu Tanzania bara, mchezaji wa zamani wa timu hiyo na kiongozi wa TFF, Mtemi Ramadhani amefanya mahojiano maalumu na mtandao huu na kuweka wazi sababu za Mnyama kuzidi kuboronga. Mwandishi:...

YANGA YATAKA MECHI YAKE DHIDI YA MTIBWA SUGAR ISOGEZWE

Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema unatarajia kuwasilisha barua kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jumatatu ijayo kuomba mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar wa Februari 8, usogezwe mbele. Yanga inatarajiwa kukipiga na BDF XI ya Botswana katika Kombe la Shirikisho mnamo Februari 14 lakini...